P Pantosha JF-Expert Member Joined Sep 22, 2022 Posts 869 Reaction score 1,282 May 7, 2025 #1 Siyo kwa ukame huu. Mtu unajikongoja unapanga kwenye nyumba ambayo imeinganishwa na huduma ya maji, ila hayatoki. Hii nchi ina wizara ya maji kweli?
Siyo kwa ukame huu. Mtu unajikongoja unapanga kwenye nyumba ambayo imeinganishwa na huduma ya maji, ila hayatoki. Hii nchi ina wizara ya maji kweli?
Khanji kapoor JF-Expert Member Joined Oct 19, 2024 Posts 3,368 Reaction score 8,404 May 7, 2025 #3 Mtatufanyaje?
Lax JF-Expert Member Joined Feb 10, 2022 Posts 10,603 Reaction score 14,845 May 7, 2025 #4 Pantosha said: Siyo kwa ukame huu. Mtu unajikongoja unapanga kwenye nyumba ambayo imeinganishwa na huduma ya maji, ila hayatoki. Hii nchi ina wizara ya maji kweli? Click to expand... Waziri wa maji ni moja ya mawaziri wanaosifiwa kwelikweli mkuu🤣 Ni changamoto sana yani
Pantosha said: Siyo kwa ukame huu. Mtu unajikongoja unapanga kwenye nyumba ambayo imeinganishwa na huduma ya maji, ila hayatoki. Hii nchi ina wizara ya maji kweli? Click to expand... Waziri wa maji ni moja ya mawaziri wanaosifiwa kwelikweli mkuu🤣 Ni changamoto sana yani