Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,405
🤣🤣🤣
Kwanini serikali haitaki kuingiza traditional medicines za magonjwa mengine kwenye standard treatment guideline ya afya?
Kwa nini wanapromote hii dawa ya corona tuu while dawa za magonjwa mengine hazipewi promo?
Kwani hii ya Corona imefanyiwa majaribio na kuthibitika kuwa inatibu Corona?Kwanini serikali haitaki kuingiza traditional medicines za magonjwa mengine kwenye standard treatment guideline ya afya?
Kwa nini wanapromote hii dawa ya corona tuu while dawa za magonjwa mengine hazipewi promo?
MapumbafuKwanini serikali haitaki kuingiza traditional medicines za magonjwa mengine kwenye standard treatment guideline ya afya?
Kwa nini wanapromote hii dawa ya corona tuu while dawa za magonjwa mengine hazipewi promo?
Kuna wale wenye akili za CCM watakuja kuwatetea hawa wenzao juu ya huu ujinga wao
Hello habari yakoKwa kweli tumepatikana, ila tumeaswa tushukuru kwa kila jambo 🤗
🤣 kikwetukwetu kivyetuvyetu siyo!Mtuache tufanye yetu..... Ukila nauli ndo utaijua njia ya mkato ya kufika uendako....
Tutatoboa tuuu.... Covid kitu gani....tusitishaneeee
Wale jamaa wamerudi kwao kuendeleza zile dawa za mitishamba zaidiSwali lako ni zuli sana. Pale Muhimbili kulikuwa na kitengo kilichokuwa kinafanya utafiti wa dawa za asili, sijui utafiti wake umefikia wapi? Nina hakika waliweza kugundua dawa za asili ambazo ni dawa za maradhi ambazo zinaweza kuwasaidia wananchi kama zikitangazwa.