Wananchi ni kama tumekata tamaa.Mwanzoni kosa lilikua ni la CCM
Lakini kwasasa hali ilipofikia, kosa ni letu sisi Wananchi kwa kufumbia macho swala hili. Tumekua keyboard warrior bila kuchukua hatua.....
Yule jamaa angekuwa mtu private ingekuwa safi...Ila hata ufanyaje ishu za vyama vitakumaliza tu, wale watu wako wa karibu wana mchango mkubwa katika kubadili tabia yao..Wananchi ni kama tumekata tamaa.
Hatuelewi tumlalamikie nani.
Alikuwepo aliyetupa matumaini wananchi kwakuyafanyia kazi hayo yote hapo juu lakini naye mfumo wao haukumuhitaji.
Hii ndio sababu hasa ya sisi wananchi kukata tamaa, hasa baada ya kugundua kuwa mfumo wa hawa wanasiasa na wanaharakati hauna jema lolote kwa sisi wananchi.
Tutafanyaje sasa?
Wanasiasa waliopo sasa hawaaminiki. Si wa chama tawala wala upinzani. Kilichobaki ni kudra za mwenyezi Mungu.
Sio Ccm pekee inawafanya watu kuwa mazombie. Hata vyama vingine vya siasa ni hivyo hivyo tu.Yule jamaa angekuwa mtu private ingekuwa safi...Ila hata ufanyaje ishu za vyama vitakumaliza tu, wale watu wako wa karibu wana mchango mkubwa katika kubadili tabia yao..
Ukiwa CCM ipo siku utakuwa zombie tu kama unashirikiana nao.
Mifumo haisomani ndio maana kila mtu na lwake. Katiba mpya muhimu ili mifumo isomane, wengine wasitimbue pesa wakati wenzao hawana huduma!Kwa kweli ndugu zangu wa Tanzania, haya ni mambo ambayo yanasikitisha na kuonyesha hii nchi haitujali kwa dhati (Unaweza ongeza yako) :
1. Hivi inawezekanaje ni agenda serious Kabisa kwamba watu tufunge Mikanda (Jambo jema sana), Lakini kuna Magari ya abiria yenye leseni, Bima, safe sticker na gari zima halina Mikanda?
2. Hivi inawezekanaje mtu upande Bus ushushwe kwenye mgahawa, unapewa a plate kwa 8000/- wali haujaiva, chips boko boko kama ugali, nyama hazijaiva, huna option? Mamlaka zipo.
3. Hivi inawezekanaje Makonda, kada wa CCM mwenye lawama za kutosha na uonevu mkubwa, anaongozwa na msafara wa magari ya serikali ya mamilioni, lakini vijijini Wakina Mama zetu wanakufa sababu ya kususwa na manesi ambao hawalipwi vizuri wanalazimisha rushwa?
4. Hivi inawezekanajae trafic kusimama mahali ambao barabara ni mbovu, na hatari kusimama, anakusimamisha, hakuna pa kupaki, kuna siku niliwashawahi kugongwa, yani sio salama, sasa malengo ya trafic ni nini?
5. Hivi inawezekanaje mifumo ya serikali, mfano sumatra, inaweza kuwa na Shida hata week nzima, na ukienda unajibiwa hovyo, hapo nje kuna watu ambao wanakuongelesha kwamba wanaweza kukusaidia kwa charges?
6. Hivi inawezekanaje, nimepita TRA, nimepata clearance, nimefanikisha kila kitu kwa mateso Latra, naenda office ya Latra asubuhi ili niwahi kwenye kazi, najikuta mwenyewe, nangoja steaker kwa saa nzima, na kujibiwa hovyo? Ni sawa kweli?
7. Hivi inakuwaje mimi naleta serikalin hela yangu ya kodi, kamili na kwa uaminifu, leseni au mambo mengine, ili muipokee lazima nitoe rushwa? Hivi jamani huu ni utu kweli ndugu zangu.
8. Jamani, jamani! HAKUNA ajira, hii nchi, tumekubali, ni sawa, wacha vijana wetu wa pambane, ila:
1. Wanajiajiri.
2. Umeme unakatika.
3. Ratiba hakuna
Swali : Hivi mnafikiri hawa vijana watajipanga na kazi zao bila ratiba ya umeme? Jamani? Kutoa ratiba kuna shida gani?
Hemu fikirieni:
- Saloon
- Beauty parlors
- Mafundi wa kuchomea
- Magereji
- Wafyatua matofali
Mnajua ni vijana wangapi wako kwenye hizi field? Wameoa, wanasomesha, waishije?
Baada ya kuwanyima umeme, TRA wanapita na tangazo, lipa Kodi yako kwa maendeleo ya Taifa, this is day light robbery.
Baada ya machungu yote haya, report ya CAG inakuja na maelezo ya kutosha juu ya wizi wa watumishi wa serikali, Hakuna hatua mnachukua!!!!!!!!!????????
Hivi serikali, sisi wananchi tumewakosea nini? Hemu tuambieni basi leo ili tuombe msamaha, tumalizane, tuishi kwa amani!
Miaka yote inanyimwa kura ila inashinda kwa kishindo elewa tu hai jamaa hawategemei kura yako na yangu ndo maana hawataki kubadili katiba na muundo wa tume huru usiowabeba.Wanatuhadaa hivyo ndo maana wanapigiwa kura.
Tuinyime kura uone kama hawategemei kura zetu
Hatuwezi, wote kuwa Mandela, Steve Biko, au, nyerere, au, Lumumba,Mwanzoni kosa lilikua ni la CCM
Lakini kwasasa hali ilipofikia, kosa ni letu sisi Wananchi kwa kufumbia macho swala hili. Tumekua keyboard warrior bila kuchukua hatua.....
MkuuMiaka yote inanyimwa kura ila inashinda kwa kishindo elewa tu hai jamaa hawategemei kura yako na yangu ndo maana hawataki kubadili katiba na muundo wa tume huru usiowabeba.
usikatishe watu tamaaaCCM haitegemei kura zetu ili iwe madarakani,jua hilo mkuu.
msikatishe watu tamaa , sio tunapiga kura ili kuitoa ccmu kupitia uchaguz ila kupitia kura hata NEC na wengine wakiona misimamo ya wengi bas ndan yao wapo watajitoa chambo , tusikatishane tamaaaMajizi yanaiba Kaka, kama kura ni suluhisho ccm ingekuwa nje by now
susia vikao na mikutano yao , hawataweza endelea kuwepo , kamsome Gandhi wa IndiaInategemea, ikizikosa wanaiba
kbsHatujafanya proof ya hili kwa udhati wake.
Tuondoe dhana ya kuibiwa. Nchi nzima tuhamasishane tusiwape kura.
Sauti ya umma ni sauti ya Mungu
Mkuu nakukayalia hapo ukitaka kujua CCM uchaguzi kwao kiini macho kwanza angali muundo wa tume nani anawaweka pale kisha rejea uchaguzi wa 2020 uzuri Jiwe yeye alifanya hadharani haikua sirini kama miaka yote.Mkuu
Tqfakati hili. Kura nyingi zinapigwa kwa CCM kwa sababu ya hii hofu kwamba hata msipoipigia wanaiba zote.
Wengi humu wanainanga CCM lakini kwa siri wanakula na kunywa nao damu za wananchi. Hivyo tukiachana na unafiki, CCM haitoboi
Huo ndo uhalisia na haitatokea ikatolewa kwa sanduku la kura ni mpaka Jeshi au wananchi tuamue kuingia barabarani.usikatishe watu tamaaa
Mkuu unaaamini katika uchaguzi mkuu wa 2020 aliyeshinda ubunge CHADEMA kwa kura ni Aidan Kenani pekee?Hatujafanya proof ya hili kwa udhati wake.
Tuondoe dhana ya kuibiwa. Nchi nzima tuhamasishane tusiwape kura.
Sauti ya umma ni sauti ya Mungu
Ukipata nafasi ya kuiba pesa ya serikali IBA usiionee huruma pesa ya serikali3. Hivi inawezekanaje Makonda, kada wa CCM mwenye lawama za kutosha na uonevu mkubwa, anaongozwa na msafara wa magari ya serikali ya mamilioni, lakini vijijini Wakina Mama zetu wanakufa sababu ya kususwa na manesi ambao hawalipwi vizuri wanalazimisha rushwa?