four eyes
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 905
- 1,409
Kwa idadi ya vikete na vimsokoto anavyokutwa navyo hata kutangazwa ni sababu ya umaarufu wake tu,hajawahi kukutwa na shehena kama ulivyoandika umeover exaggerate aisee,ni vimsokoto kidogo tu ambavyo huko mtaani wanakamatwa navyo mapusha wengi wanatoa senti kidogo wanaachiwa maana kuhangaika nao mahakamani ni kupoteza tu kodi zetu kwa kuwalisha bure huko rumande.