Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,826
Mtu pekee aliye juu ya sheria ni makonda.
ulipo pishana na mchangiaji ni neno shehena wakato jamaa anakutwa na kete tuHata mimi sikuandika kwa ajili ya mataahira kama wewe. Tafta mume uolewe. Acha kudandia waume za watu. Mimi nina mke na mke wangu ana wivu sana. Akikujua umekwisha..
Mkuu ubabe sio kuimba mashairi ya kibabe. Tupac aliimba sana kibabe lakini alikua na mwili mdogo kama kibamia na hata alipokamatwa kwenda jela moja huko kwao alikutana na wababe wakamtafuna.Style ya Uimbaji wake na Mashairi yake,yamejaa ujasiri sana,ni kama leo usikie Roma Mkatoliki teja....
ukiona hivyo ujue wakubwa ndio wanamtuma..polisi wanamkamata huku wakiwa hawajui kuwq mzigo ni wa mkubwa wakishajua inabidi wamuachie tu .. hakuna namnaNaomba kujua kama Chid Benz yuko juu ya sheria.
Amekamatwa zaidi ya mara 4 na shehena ya madawa ya kulevya, kila akikamatwa umma hua unajulisha lakini baada ya muda mfupi tunamuona uraiani kama kawaida.
Sheria ya kupambana ma madawa ya kulevya inaseam wazi kua ukikamatwa hakuna dhamana na kifungo ni miaka 30 jela.
Hii tumeona ikitokea kwa watu wengi sana ila hali inakua tofauti inapokuja kwa chidi Benz, yeye kila akikamatwa anaachiwa kuja kula good time na kuvuta bangi zaidi na kuzisambaza.
Mbaya zaidi teja na muuza madawa ya kulevya mkubwa kama chidi benzi anapewa platform kuperfom kwenye matukio live kwenye vyombo vya habari.
Maana yake watoto wetu waendelee kujifunza toka kwa chidi benz kuendelea kuvuta unga maana wanajua wakikamatwa wataachiwa.
Hii nchi sijui nani alieiroga alishakufa. Fuccthis country.
Mwambie huyo shoga hajitambui......ulipo pishana na mchangiaji ni neno shehena wakato jamaa anakutwa na kete tu
Mkuu, sheria ya madawa ya kulevya haitofautishi kati ya kete au msokoto mmoja na magunia 200 ya bangi au kontena la heroin. As long as umekutwa kete moja ni sawa na mtu aliekamatwa na shehena la madawa ya kulevya. Ndio maana nimetumia neno shehena.ulipo pishana na mchangiaji ni neno shehena wakato jamaa anakutwa na kete tu
Sahihi kabisa mkuu.Ati anadai pia Chid ni muuzaji kwa upuuzi wake.Naanza kusoma tu nakutana na neno shehena ya madawa ya kulevya nikagundua uzi umeandikwa mpuuzi mmoja, sijaendelea kuusoma wala kutaka kujua Id ya mwandishi.
Mwache ajifie taratibu kuendelea kumtaja ni kumpa umaarufu asio stahiliHuyo kashajifia, anatafuta sababu ya kufa mikononi mwa mtu
Akahifadhiwe mirembechidi n mgonjwa mkuu, asa utamfunga chizi