Hii nchi Chid Benz yuko juu ya sheria?

Hii nchi Chid Benz yuko juu ya sheria?

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,050
Reaction score
12,966
Naomba kujua kama Chid Benz yuko juu ya sheria.

Amekamatwa zaidi ya mara 4 na shehena ya madawa ya kulevya, kila akikamatwa umma hua unajulisha lakini baada ya muda mfupi tunamuona uraiani kama kawaida.

Sheria ya kupambana ma madawa ya kulevya inaseam wazi kua ukikamatwa hakuna dhamana na kifungo ni miaka 30 jela.

Hii tumeona ikitokea kwa watu wengi sana ila hali inakua tofauti inapokuja kwa chidi Benz, yeye kila akikamatwa anaachiwa kuja kula good time na kuvuta bangi zaidi na kuzisambaza.

Mbaya zaidi teja na muuza madawa ya kulevya mkubwa kama chidi benzi anapewa platform kuperfom kwenye matukio live kwenye vyombo vya habari.

Maana yake watoto wetu waendelee kujifunza toka kwa chidi benz kuendelea kuvuta unga maana wanajua wakikamatwa wataachiwa.

Hii nchi sijui nani alieiroga alishakufa. Fuccthis country.
 
Naanza kusoma tu nakutana na neno shehena ya madawa ya kulevya nikagundua uzi umeandikwa mpuuzi mmoja, sijaendelea kuusoma wala kutaka kujua Id ya mwandishi.
Hata mimi sikuandika kwa ajili ya mataahira kama wewe. Tafta mume uolewe. Acha kudandia waume za watu. Mimi nina mke na mke wangu ana wivu sana. Akikujua umekwisha..
 
Na Ubabe wote akaishia kula ngada!!Kweli kesho yetu ni fumbo
 
Unapata tabu sana, ccm unadili na watu wanaotaka kupora utawala wao kwahivyo ya chid achana nao ndugu.
 
Hoja ya kijinga. Jela wanaenda waliotenda makosa. Umeambiwa mwanangu kakamatwa na madawa ya kulevya?
sio kila aliyeenda jela ametenda makosa mkuu...kuna kusingiziwa...Halafu usipende kila mtu afungwe.....Muombee kwa Mungu na yeye aijue kweli na naamini atakuwa mtu mwema suluhisho sio kufungwa hujui kuwa jela pia kuna dawa...!!think twice....Puta
 
Chid hajawahi kua mbabe, mateja wote ni mashoga na hakuna shoga mbabe. Chidi ni teja.
Style ya Uimbaji wake na Mashairi yake,yamejaa ujasiri sana,ni kama leo usikie Roma Mkatoliki teja....
 
sio kila aliyeenda jela ametenda makosa mkuu...kuna kusingiziwa...Halafu usipende kila mtu afungwe.....Muombee kwa Mungu na yeye aijue kweli na naamini atakuwa mtu mwema suluhisho sio kufungwa hujui kuwa jela pia kuna dawa...!!think twice....Puta
Mkuu,
Ni kweli kua Sio kila alieenda jela katenda makosa lakini ni kweli pia kua sio kila anaetenda kosa anaenda jela.

Lakini ili uweze kwenda jela eidha kwa kutenda kosa au bila kutenda kosa(kuonewa) ni lazima uwe umekamatwa.

Sasa hapa Chid Benz alikamatwa na tukaambiwa kakutwa na madawa ya kulevya na si zaidi ya mara moja. Hivyo alipaswa kwenda jela.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom