Bill Lugano
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,186
- 6,402
Sisi wengine wenye International driving licence tunakutana na changamoto mbalimbali sehemu nyingine.
Mimi nimekuwa nikiendesha gari UK, USA, Dubai, Egypt, SA, Canada, Sweden, Netherland, Denmark, Botswana, Kenya, Switz, Russia, China, Japan, Korea na nchi nyingine nimezisahau. Sijawahi endesha Train na Ndege tu.
But kwa Tanzania napata shida kidogo nadhani kuna sheria zinatofautiana.
Mfano:
Ni kwanini magari yakifika kwenye zebra crossing yanasimama na kuwasha hazard? Hii ni hatari maana kuna siku nilidhani gari limepata shida nika epuka kidogo ndo nakuta kuna mtu anavuka. Nikashangaa. Je, hii ni sheria kuwa gari likisimama zebra crossing liwashe hazard?
Kama mtu anapita kwenye junction ananyoosha pia mi huona wengine wakiwasha hazard. Hii nayo sijawahi ona nchi hizo nyingine. Nimejaribu kumuuliza mdogo wangu yeye anaishi Canada anasema hamna hicho kitu. Nikamuuliza mwingine mdogo wangu anayeishi USA naye kasema hapana huo utaratibu.
Mzee yeye ambaye niliwaambia ana nyumba ya maana kiasi kwamba mlinishangaza kusema Mengi Marehemu ana nyumba nzuri kuja kuangalia ya kawaiiiiidaa. Mzee wangu yeye ana majumba nchi mbalimbali za maana. Naye hajawahi ona jambo hilo la kuwasha washa hazard
Labda sasa niulize kwenu ambao mmekaa sana Tanzania: Je, hiyo ni kisheria au ni mbwembwe tu za madereva wenu?
Mimi nimekuwa nikiendesha gari UK, USA, Dubai, Egypt, SA, Canada, Sweden, Netherland, Denmark, Botswana, Kenya, Switz, Russia, China, Japan, Korea na nchi nyingine nimezisahau. Sijawahi endesha Train na Ndege tu.
But kwa Tanzania napata shida kidogo nadhani kuna sheria zinatofautiana.
Mfano:
Ni kwanini magari yakifika kwenye zebra crossing yanasimama na kuwasha hazard? Hii ni hatari maana kuna siku nilidhani gari limepata shida nika epuka kidogo ndo nakuta kuna mtu anavuka. Nikashangaa. Je, hii ni sheria kuwa gari likisimama zebra crossing liwashe hazard?
Kama mtu anapita kwenye junction ananyoosha pia mi huona wengine wakiwasha hazard. Hii nayo sijawahi ona nchi hizo nyingine. Nimejaribu kumuuliza mdogo wangu yeye anaishi Canada anasema hamna hicho kitu. Nikamuuliza mwingine mdogo wangu anayeishi USA naye kasema hapana huo utaratibu.
Mzee yeye ambaye niliwaambia ana nyumba ya maana kiasi kwamba mlinishangaza kusema Mengi Marehemu ana nyumba nzuri kuja kuangalia ya kawaiiiiidaa. Mzee wangu yeye ana majumba nchi mbalimbali za maana. Naye hajawahi ona jambo hilo la kuwasha washa hazard
Labda sasa niulize kwenu ambao mmekaa sana Tanzania: Je, hiyo ni kisheria au ni mbwembwe tu za madereva wenu?