Kama hawa wa Miss Kurasini??
View attachment 10292
Miss Bagamoyo Namba moja (katikati) Magreth Akonay akipunga mkono wa furaha baada ya kuchukua taji hilo Kulia kwake ni mshindi wa pili, Zainabu Ally na kushoto kwake ni Winnifrida David mshindi wa tatu.
View attachment 10293
Shindano la kumsaka mlimbwende wa Miss Vodacom Bagamoyo 2010 jana lilifikia tamati katika Ukumbi wa Chuo cha Sanaa cha Kaole mjini Bagamoyo baada ya Magreth Akonay kunyakuwa taji hilo na kitita cha shilingi laki tatu.
Shindano hilo liliandaliwa na Kampuni ya Asilia Decorations chini ya udhamini wa Kampuni ya Simu za Mikononi ya Vodacom