Hii misemo ya vijana wa leo hasa ktk mitando ya kijmii!

Hii misemo ya vijana wa leo hasa ktk mitando ya kijmii!

Shine

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2011
Posts
11,481
Reaction score
1,371
Wakuu kuna misemo mingi ya kufurahisha sana hasa ktk mitandao ya kijamii, mfano
Kula bata mpaka kuku aone wivu.
Weka misemo uliyowahi kuisikia na ukapata kuifurahia
 
Kinyesi hakina mwiba lakini ukikikanyaga lazima uchechemee.

Hata uwe na bahati vipi, huwezi kuokota nyumba.

Picha ya Rais haina Bodyguard.

Urefu na ufupi ni majaliwa ya Mungu,
Unene na wembamba ni juhudi binafsi.

Hata uwe na kontena mia za viatu, Usiku lazima ulale peku.

Paka haishi nyumba ya Msela.

Ukitaka kujua shotikati, poteza nauli.

Ikisimama Panda,
Ikinywea Shuka.
 
Kinyesi hakina mwiba lakini ukikikanyaga lazima uchechemee.

Hata uwe na bahati vipi, huwezi kuokota nyumba.

Picha ya Rais haina Bodyguard.

Urefu na ufupi ni majaliwa ya Mungu,
Unene na wembamba ni juhudi binafsi.

Hata uwe na kontena mia za viatu, Usiku lazima ulale peku.

Paka haishi nyumba ya Msela.

Ukitaka kujua shotikati, poteza nauli.

Ikisimama Panda,
Ikinywea Shuka.

Mh,we Madame B chiboko!!
 
Last edited by a moderator:
Kinyesi hakina mwiba lakini ukikikanyaga lazima uchechemee.

Hata uwe na bahati vipi, huwezi kuokota nyumba.

Picha ya Rais haina Bodyguard.

Urefu na ufupi ni majaliwa ya Mungu,
Unene na wembamba ni juhudi binafsi.

Hata uwe na kontena mia za viatu, Usiku lazima ulale peku.

Paka haishi nyumba ya Msela.

Ukitaka kujua shotikati, poteza nauli.

Ikisimama Panda,
Ikinywea Shuka.

Kwa misemo hii nadhani tutaendana, ngoja nizame kwenye ule uzi wako wa kutafuta ..... tehe tehe.

Muzima lakini Madame B???

Umetisha lakini nami natupia kuwa japokuwa muda ni mtamu na mlaini lakini lazima ukutane na fundo!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa misemo hii nadhani tutaendana, ngoja nizame kwenye ule uzi wako wa kutafuta ..... tehe tehe.

Muzima lakini Madame B???

Umetisha lakini nami natupia kuwa japokuwa muda ni mtamu na mlaini lakini lazima ukutane na fundo!!

Looh!
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.

Hapo nadhani ulikuwa unamaanisha Muwa Mzee wa Rula.

Wajanja wanakwambia hivi,
Hata Bata awe mchafu vipi,lazima atataga yai jeupe.
 
Last edited by a moderator:
Looh!
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.

Hapo nadhani ulikuwa unamaanisha Muwa Mzee wa Rula.

Wajanja wanakwambia hivi,
Hata Bata awe mchafu vipi,lazima atataga yai jeupe.

Kweli chelewa chelewa utakuta mwana si wako. Ni kweli muwa ndiyo nilikusudia.

Basi mwingine ni huu, nipe tano japo kinafiki!!
 
Last edited by a moderator:
Kinyesi hakina mwiba lakini ukikikanyaga lazima uchechemee.

Hata uwe na bahati vipi, huwezi kuokota nyumba.

Picha ya Rais haina Bodyguard.

Urefu na ufupi ni majaliwa ya Mungu,
Unene na wembamba ni juhudi binafsi.

Hata uwe na kontena mia za viatu, Usiku lazima ulale peku.

Paka haishi nyumba ya Msela.

Ukitaka kujua shotikati, poteza nauli.

Ikisimama Panda,
Ikinywea Shuka.

Madame B. ni nouma yani umeshuka kama unashuka freestyle flani hivi yani! Pia umenichekesha sana
 
Kuku Kuku, Jogoo jina

Mganga haagizi samaki

Msiba wa kujitakia hauna pole

Kopo la chooni ni la chooni tu, hata liwe jipya halikai kabatini.

Mjini sura na shape, tabia kijijini.

Nazi haijikuni.

Utasubiri saana embe chini ya mwarobaini.
 
Kuku Kuku, Jogoo jina

Mganga haagizi samaki

Msiba wa kujitakia hauna pole

Kopo la chooni ni la chooni tu, hata liwe jipya halikai kabatini.

Mjini sura na shape, tabia kijijini.

Nazi haijikuni.

Utasubiri saana embe chini ya mwarobaini.

Du mnaitoa wapi? Maana imekaa kiukweli mtupu
 
Kinyesi hakina mwiba lakini ukikikanyaga lazima uchechemee.

Hata uwe na bahati vipi, huwezi kuokota nyumba.

Picha ya Rais haina Bodyguard.

Urefu na ufupi ni majaliwa ya Mungu,
Unene na wembamba ni juhudi binafsi.

Hata uwe na kontena mia za viatu, Usiku lazima ulale peku.

Paka haishi nyumba ya Msela.

Ukitaka kujua shotikati, poteza nauli.

Ikisimama Panda,
Ikinywea Shuka.

We Madame B umeyajuaje maneno yote haya.....?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom