Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,513
- 9,553
Habari,
Msaada wenu wanajukwaa
Mara ya mwisho kuingia hedhi ni tarehe 30 mwezi wa tatu, nimesex nae tarehe 23 mwezi wa 4, leo tarehe 27 amepima ana mimba.
Hii mimba ni yangu?
Jee kipimo kile cha mkojo kinaweza kutoa majibu baada ya siku nne after sex?
Msaada wenu wanajukwaa
Mara ya mwisho kuingia hedhi ni tarehe 30 mwezi wa tatu, nimesex nae tarehe 23 mwezi wa 4, leo tarehe 27 amepima ana mimba.
Hii mimba ni yangu?
Jee kipimo kile cha mkojo kinaweza kutoa majibu baada ya siku nne after sex?