Mr worldwide
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 348
- 737
Wakuu
Tuendelee kuchukua tahadhali na kujikinga dhidi ya COVID19. Ni wiki sasa imepita tangu nilipokutana na kushirikiana mwanamke mmoja hivi hapa Jijini Dar es Salaam
Kiukweli nilimsukumia kitu pekupeku maana sijazoezoa habari za kula pipi na ganda lake. Specifically ilikua 27 April, leo hii zimepita siku saba napokea jumbe ikitoka kwa mwanamke huyo kupitia wasap akiambatanisha na picha ya kipimo kwamba anayomimba, basi kiuanaume nikajisemea sawa na kuanza kuuliza maswali juu ya mimba hiyo kama ifuatavyo
Mimi: Ulitakaiwa uanze period lini?
Yeye: tarehe 28
Mimi: hii ni mimba ya aina gani iingie siku moja kabla ya kuanza hedhi?
Yeye: Ndio hivyo hii ni mimba yako
Mimi: sawa, lakini niambie mzunguko wako wa hedhi mwezi wa tatu ulianza na kumaliza lini
Yeye: nilianza tarehe 26 mpaka 29, hivyo mwezi april nilitakiwa nianze tarehe 28 na sijaona siku zangu mpaka leo na vipimo ndio hivyo
Mimi: kwa mzunguko wako huo, unazifahamu siku zako za hatari na kushika ujauzito?
Yeye: ndiyo hiyo tarehe 27 mimba iliingia
Mimi: Nenda kasome biology ya form three upya mama ndio uje tena uniambie hio mimba mmiliki wake ni nani
Yeye: Yaani najuta kukupa penzi langu hapa sijielewi nifanye nini
Mimi: tuliza akili umtafute mmiliki halali wa kijusi huyo
Wakuu wa JF hivi mimi nimekosea kwa majibu hayo au nimefanya makosa kuikataa hii mimba ya siku moja kabla ya hedhi?
Kwa hali hii wimbi la single maza halitaisha na wanawakw mtaendelea kutuona wanaume wabaya kumbe siyo
NB: Huyu mwanamke alinisumbua sana kama miezi mitatu namfukuzia na aliniwekea ngumu kunipa papuchi yake, siku hiyo alijilengesha kiulaini tu akakubali na kutoa mzigo, najaribu kuconect dot hapa alikuwa na mambo yake au
Tuendelee kuchukua tahadhali na kujikinga dhidi ya COVID19. Ni wiki sasa imepita tangu nilipokutana na kushirikiana mwanamke mmoja hivi hapa Jijini Dar es Salaam
Kiukweli nilimsukumia kitu pekupeku maana sijazoezoa habari za kula pipi na ganda lake. Specifically ilikua 27 April, leo hii zimepita siku saba napokea jumbe ikitoka kwa mwanamke huyo kupitia wasap akiambatanisha na picha ya kipimo kwamba anayomimba, basi kiuanaume nikajisemea sawa na kuanza kuuliza maswali juu ya mimba hiyo kama ifuatavyo
Mimi: Ulitakaiwa uanze period lini?
Yeye: tarehe 28
Mimi: hii ni mimba ya aina gani iingie siku moja kabla ya kuanza hedhi?
Yeye: Ndio hivyo hii ni mimba yako
Mimi: sawa, lakini niambie mzunguko wako wa hedhi mwezi wa tatu ulianza na kumaliza lini
Yeye: nilianza tarehe 26 mpaka 29, hivyo mwezi april nilitakiwa nianze tarehe 28 na sijaona siku zangu mpaka leo na vipimo ndio hivyo
Mimi: kwa mzunguko wako huo, unazifahamu siku zako za hatari na kushika ujauzito?
Yeye: ndiyo hiyo tarehe 27 mimba iliingia
Mimi: Nenda kasome biology ya form three upya mama ndio uje tena uniambie hio mimba mmiliki wake ni nani
Yeye: Yaani najuta kukupa penzi langu hapa sijielewi nifanye nini
Mimi: tuliza akili umtafute mmiliki halali wa kijusi huyo
Wakuu wa JF hivi mimi nimekosea kwa majibu hayo au nimefanya makosa kuikataa hii mimba ya siku moja kabla ya hedhi?
Kwa hali hii wimbi la single maza halitaisha na wanawakw mtaendelea kutuona wanaume wabaya kumbe siyo
NB: Huyu mwanamke alinisumbua sana kama miezi mitatu namfukuzia na aliniwekea ngumu kunipa papuchi yake, siku hiyo alijilengesha kiulaini tu akakubali na kutoa mzigo, najaribu kuconect dot hapa alikuwa na mambo yake au