Hii mimba sihusiki nayo kabisa...

Hii mimba sihusiki nayo kabisa...

Siyo mimba yako. Kuna mwanaume alimfarua kati siku 10-14 kabla yako(labda alibakwa,ndo maana hampendi), pia mimba ya kawaida haisomi 'positive 'kwa kipimo cha mkojo(U.P.T) ndani ya wiki moja. Mwambie mtapima DNA,baada ya mtoto kuzaliwa,siyo kuangalia viungo vyake vimefanana na nani kati yenu au kwenye familia zenu
 
Hakuna kitu kama hicho na hakita kuja wahi tokea kamwe na hakuna science kama iyo neva ever labda kwa uwezo utakao juu. Yai limeshakua disintegrated na limekua absorbed in uterus na ule ukuta wa mimba umemomonyoka utoke kwa ajili ya next cycle ya kumpokea mtoto atakayekuja afu mimba itokee wapi na wapi? Kwa yai lipi? Uyo mtoto atajiatach vp kwenye uterus akati lining ishabomoka.. nonsense!

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa sipigizani kelele na wehu wanaojiona wana akili timamu.
Wana sayansi wenyewe wanathibitisha huwa inatokea japo ni mara chache sasa sijui unampigia nani hapa kelele za kilimbukeni?
Unashindwa hata kutembea mitandaoni kusoma? Jinga kweli.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Hakuna kitu kama hicho na hakita kuja wahi tokea kamwe na hakuna science kama iyo neva ever labda kwa uwezo utakao juu. Yai limeshakua disintegrated na limekua absorbed in uterus na ule ukuta wa mimba umemomonyoka utoke kwa ajili ya next cycle ya kumpokea mtoto atakayekuja afu mimba itokee wapi na wapi? Kwa yai lipi? Uyo mtoto atajiatach vp kwenye uterus akati lining ishabomoka.. nonsense!

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi kabisa sijui watu walisomea wap? In shot week moja before period mwanamke hawezi kupata mimba. Mwanamke akiingiia period let say trh 1may, lazima trh 5may lazima atoke kama hana tatizo, then kuanzia trh 6-10 ni free days. Then kuanzia trh 11-17 ni Siku za mimba, awe na mzunguko wa 28 day or 30 day lazima kwenye hizo trh, spate mbimba, which means wiki ya pili baada ya period ndo ndo ovulation, yai likitoka linamaliza Siku mbili likisubiri kuwa fertilised, then fertilizations isipotake place linaharibika kwa ajili ya kujiandaa na next period.

There fore wiki ya 3 ana ya 4 huwa ni free day ambapo wiki ya NNE lazima aingie period.angalia comment yangu hapo juu nimehesabu Siku alizotoa mleta Mada hii mimba sio yake. Siku wanakutana ilibidi awe period.
Mambo yote ya Science ni kama theories tuu. Ambazo hizo theory zikifanyiwa majaribio na zikirudisha majibu "sawa" kila zinapojaribiwa, wana-assume ni "Facts ". Hiyo haimaanishi ikiwa ni fact haiwezi kuwa proven wrong.

Scientists hawajawahi kuacha kufanya utafiti ndiyo maana kama unafuatilia sana utaona maelezo yao kama vile yanapingana, unakuta mwanzo walisema hivi, baada ya muda wakasema hivi, na sasa wanasema hivi., ni kwasababu bado wanaendelea na utafiti kugundua uwezekano wa kitu fulani kutokea na sababu zinazopelekea kitu kutokea.

Kuna Case zipo kwenye mitandao ambazo zinafanyiwa research. Na zinaonekana kuna wanawake kweli wanabeba ujauzito wakiwa period au siku moja, mbili , tatu kabla hajaingia period but there's a lesser chance.

Wenye sayansi yao wanasema "For birth control, the only safe assumption is that your partner could get pregnant anytime you have unprotected sex."

Vipindi vingine kwenye mwezi may have a lower probability(uwezekano mdogo) lakini haimaanishi huwa haitokei.

Kwahiyo ukisoma article mbali mbali ukiachana na tulizofundishwa shuleni utagundua "It's possible though uncommon". Kumbuka hata kama chance ni 0.0000001% bado inamaana kubwa sana kwa watafiti. Na those chances depends on a variety of factors. Nimesema tofauti na tulivofundishwa shuleni kwa sababu vitabu vya shuleni havifanyiwi updates mara kwa mara kila baada ya tafiti mpya kukamilika. Elimu ya darasani tuu haitoshi inatubidi kuendelea kutafuta maarifa mapya.

Muda wote ni muhimu kuepuka unprotected sex tofauti na hapo Utashangazwa. Na utafiti mpya utaanzia kwako.
PS, mimi sio scientist, naweza nikawa nimetumia terms ambazo siyo za kitaalamu ila cha msingi ni ujumbe.
 
Mambo yote ya Science ni kama theories tuu. Ambazo hizo theory zikifanyiwa majaribio na zikirudisha majibu "sawa" kila zinapojaribiwa, wana-assume ni "Facts ". Hiyo haimaanishi ikiwa ni fact haiwezi kuwa proven wrong.

Scientists hawajawahi kuacha kufanya utafiti ndiyo maana kama unafuatilia sana utaona maelezo yao kama vile yanapingana, unakuta mwanzo walisema hivi, baada ya muda wakasema hivi, na sasa wanasema hivi., ni kwasababu bado wanaendelea na utafiti kugundua uwezekano wa kitu fulani kutokea na sababu zinazopelekea kitu kutokea.

Kuna Case zipo kwenye mitandao ambazo zinafanyiwa research. Na zinaonekana kuna wanawake kweli wanabeba ujauzito wakiwa period au siku moja, mbili , tatu kabla hajaingia period but there's a lesser chance.

Wenye sayansi yao wanasema "For birth control, the only safe assumption is that your partner could get pregnant anytime you have unprotected sex."

Vipindi vingine kwenye mwezi may have a lower probability(uwezekano mdogo) lakini haimaanishi huwa haitokei.

Kwahiyo ukisoma article mbali mbali ukiachana na tulizofundishwa shuleni utagundua "It's possible though uncommon". Kumbuka hata kama chance ni 0.0000001% bado inamaana kubwa sana kwa watafiti. Na those chances depends on a variety of factors. Nimesema tofauti na tulivofundishwa shuleni kwa sababu vitabu vya shuleni havifanyiwi updates mara kwa mara kila baada ya tafiti mpya kukamilika. Elimu ya darasani tuu haitoshi inatubidi kuendelea kutafuta maarifa mapya.

Muda wote ni muhimu kuepuka unprotected sex tofauti na hapo Utashangazwa. Na utafiti mpya utaanzia kwako.
PS, mimi sio scientists, naweza nikawa nimetumia terms ambazo siyo za kitaalamu ila cha msingi ni ujumbe.
Wenzako wamekariri notes za darasani na hawataki kupanua akili zaidi ya hapo. Hapa kamwe hawawezi kukuelewa maana hawakufundishwa hii shuleni😅😅😅
Ukiwaambia kuna mtoto wa miaka 5, 6, 8, 9 walibeba mimba na kuzaa watoto kwenye huo umri patachimbika hapa. Kwa sababu darasani hawakufundishwa.
 
Mambo yote ya Science ni kama theories tuu. Ambazo hizo theory zikifanyiwa majaribio na zikirudisha majibu "sawa" kila zinapojaribiwa, wana-assume ni "Facts ". Hiyo haimaanishi ikiwa ni fact haiwezi kuwa proven wrong.

Scientists hawajawahi kuacha kufanya utafiti ndiyo maana kama unafuatilia sana utaona maelezo yao kama vile yanapingana, unakuta mwanzo walisema hivi, baada ya muda wakasema hivi, na sasa wanasema hivi., ni kwasababu bado wanaendelea na utafiti kugundua uwezekano wa kitu fulani kutokea na sababu zinazopelekea kitu kutokea.

Kuna Case zipo kwenye mitandao ambazo zinafanyiwa research. Na zinaonekana kuna wanawake kweli wanabeba ujauzito wakiwa period au siku moja, mbili , tatu kabla hajaingia period but there's a lesser chance.

Wenye sayansi yao wanasema "For birth control, the only safe assumption is that your partner could get pregnant anytime you have unprotected sex."

Vipindi vingine kwenye mwezi may have a lower probability(uwezekano mdogo) lakini haimaanishi huwa haitokei.

Kwahiyo ukisoma article mbali mbali ukiachana na tulizofundishwa shuleni utagundua "It's possible though uncommon". Kumbuka hata kama chance ni 0.0000001% bado inamaana kubwa sana kwa watafiti. Na those chances depends on a variety of factors. Nimesema tofauti na tulivofundishwa shuleni kwa sababu vitabu vya shuleni havifanyiwi updates mara kwa mara kila baada ya tafiti mpya kukamilika. Elimu ya darasani tuu haitoshi inatubidi kuendelea kutafuta maarifa mapya.

Muda wote ni muhimu kuepuka unprotected sex tofauti na hapo Utashangazwa. Na utafiti mpya utaanzia kwako.
PS, mimi sio scientist, naweza nikawa nimetumia terms ambazo siyo za kitaalamu ila cha msingi ni ujumbe.
Siongelei elimu za darasani pekee naongelea real life I have seen many people imehapen kwao hivyo, so mm na base kwa baadhi ya samples nyingi tu za watu iko hivyo.
All in all 1+2= it may be 5 it depends on how tu defend yo answer.
Thanks
 
Wakuu

Tuendelee kuchukua tahadhali na kujikinga dhidi ya COVID19. Ni wiki sasa imepita tangu nilipokutana na kushirikiana mwanamke mmoja hivi hapa Jijini Dar es Salaam

Kiukweli nilimsukumia kitu pekupeku maana sijazoezoa habari za kula pipi na ganda lake. Specifically ilikua 27 April, leo hii zimepita siku saba napokea jumbe ikitoka kwa mwanamke huyo kupitia wasap akiambatanisha na picha ya kipimo kwamba anayomimba, basi kiuanaume nikajisemea sawa na kuanza kuuliza maswali juu ya mimba hiyo kama ifuatavyo

Mimi: Ulitakaiwa uanze period lini?
Yeye: tarehe 28
Mimi: hii ni mimba ya aina gani iingie siku moja kabla ya kuanza hedhi?
Yeye: Ndio hivyo hii ni mimba yako
Mimi: sawa, lakini niambie mzunguko wako wa hedhi mwezi wa tatu ulianza na kumaliza lini
Yeye: nilianza tarehe 26 mpaka 29, hivyo mwezi april nilitakiwa nianze tarehe 28 na sijaona siku zangu mpaka leo na vipimo ndio hivyo
Mimi: kwa mzunguko wako huo, unazifahamu siku zako za hatari na kushika ujauzito?
Yeye: ndiyo hiyo tarehe 27 mimba iliingia
Mimi: Nenda kasome biology ya form three upya mama ndio uje tena uniambie hio mimba mmiliki wake ni nani
Yeye: Yaani najuta kukupa penzi langu hapa sijielewi nifanye nini
Mimi: tuliza akili umtafute mmiliki halali wa kijusi huyo

Wakuu wa JF hivi mimi nimekosea kwa majibu hayo au nimefanya makosa kuikataa hii mimba ya siku moja kabla ya hedhi?

Kwa hali hii wimbi la single maza halitaisha na wanawakw mtaendelea kutuona wanaume wabaya kumbe siyo

NB: Huyu mwanamke alinisumbua sana kama miezi mitatu namfukuzia na aliniwekea ngumu kunipa papuchi yake, siku hiyo alijilengesha kiulaini tu akakubali na kutoa mzigo, najaribu kuconect dot hapa alikuwa na mambo yake au
Na umemuweza kweli hii mambo wadada wanakuwa na mijamaa mingi alafu likitokea la kutokea hawajui ni ya nani. Na kila mmoja abebe mzigo wake
 
Wenzako wamekariri notes za darasani na hawataki kupanua akili zaidi ya hapo. Hapa kamwe hawawezi kukuelewa maana hawakufundishwa hii shuleni
Ukiwaambia kuna mtoto wa miaka 5, 6, 8, 9 walibeba mimba na kuzaa watoto kwenye huo umri patachimbika hapa. Kwa sababu darasani hawakufundishwa.
Haya ya kuzaa kwenye umri wa chini ya miaka 10 huwa yananishangaza. Ngoja nifuatilie kwa undani.
 
SIKU MOJA MY WIFE KANAMBIA MUME WANGU MIMI MTU AKIJA AKISEMA ANA MIMBA YAKO NAMKATALIA WAZI WAZI NAKULIA YAMINI KABISA.

MIMI HUMPA MIMBA MWANAMKE PALE TU NINAPOAMUA NA BILA MBINUNYANGU HII KUNA KITOTO NINGESINGIZIWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu ww umefanya haraka kuikataa mapema ungengoja mpk ifike miezi 4 ndio unakataa halafu ajijue mwenyew shezi zake ilaukiikataa mapema ataitoa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ajivue mapema niliwahi kulea mtu na mimba miezi akajifungua, nikipiga hesabu zangu ni miezi sita toka kutungwa mimba hadi kuzaa unaweza pewa kesi ya mauaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mrembo kakuona mnyonge katika list yake. Kaamua kukubambikia kesi tu!
 
Back
Top Bottom