Unataka kusemaje?Kizuri chajiuza, kibaya kinarandaranda mitandaoni
really???? Kama nikwel ase! hiyo papuchi itakuwa ina ulemavuKupata mimba siku moja kabla ya period huwa inatokea japo ni mara chache. Wengine wanapata wakiwa period kabisa ni nini siku moja kabla ya period?
Kuwa makini isijekuwa unaikana damu yako.
Inatokea. Na hizi za kuhesabu siku hazifanyi kazi kwa kila mtu.really???? Kama nikwel ase! hiyo papuchi itakuwa ina ulemavu
Ni kweli. Kuna watu wanaingia ovulation bila mpangilio...really???? Kama nikwel ase! hiyo papuchi itakuwa ina ulemavu
😃😃😃Mwanaume kamili hakatai mtoto, ila sio kwa style hizi
Peku tamu wewe
mkuu ww umefanya haraka kuikataa mapema ungengoja mpk ifike miezi 4 ndio unakataa halafu ajijue mwenyew shezi zake ilaukiikataa mapema ataitoa tuSijasema sihitaji mtoto ila sio kumpa mtu mimba kwa aina hii ndio kunaondoa uhalisia
Au wewe unaweza pata mimba kinamna hii?
mpira unazuia ejaculation...waweza sugua hata lisaa lizma na usiejaculate. (kwa baadhi yetu)kama hutaki mtoto vaa mpira!
Hakuna kitu kama hicho na hakita kuja wahi tokea kamwe na hakuna science kama iyo neva everKupata mimba siku moja kabla ya period huwa inatokea japo ni mara chache. Wengine wanapata wakiwa period kabisa ni nini siku moja kabla ya period?
Kuwa makini isijekuwa unaikana damu yako.

labda kwa uwezo utakao juu
. Yai limeshakua disintegrated na limekua absorbed in uterus na ule ukuta wa mimba umemomonyoka utoke kwa ajili ya next cycle ya kumpokea mtoto atakayekuja afu mimba itokee wapi na wapi? Kwa yai lipi? Uyo mtoto atajiatach vp kwenye uterus akati lining ishabomoka.. nonsense!Alianza period mMkuu hapa amefeli
Alianza period match 26,27,28,29 alitoka(,30,31, 1,2,3,4) free days,(5,6,7,8,9,10,11) danger days(12,13,14,15,16,17,18,19,20,21,22 ) free days. so kuanzia trh 23,24,25,26,27.mpaka hapo mlipokutana ilibidi awe period so alikuja na mimba.Sijasema sihitaji mtoto ila sio kumpa mtu mimba kwa aina hii ndio kunaondoa uhalisia
Au wewe unaweza pata mimba kinamna hii?
Sure kama ana homone imbalance na hiyo ndiyo inaweza sababisha mtu kubeba mimba even 4th -5th day of period. Though this is very rare..Inatokea. Na hizi za kuhesabu siku hazifanyi kazi kwa kila mtu.
Uko sahihi kabisa sijui watu walisomea wap? In shot week moja before period mwanamke hawezi kupata mimba. Mwanamke akiingiia period let say trh 1may, lazima trh 5may lazima atoke kama hana tatizo, then kuanzia trh 6-10 ni free days. Then kuanzia trh 11-17 ni Siku za mimba, awe na mzunguko wa 28 day or 30 day lazima kwenye hizo trh, spate mbimba, which means wiki ya pili baada ya period ndo ndo ovulation, yai likitoka linamaliza Siku mbili likisubiri kuwa fertilised, then fertilizations isipotake place linaharibika kwa ajili ya kujiandaa na next period.Hakuna kitu kama hicho na hakita kuja wahi tokea kamwe na hakuna science kama iyo neva everlabda kwa uwezo utakao juu
. Yai limeshakua disintegrated na limekua absorbed in uterus na ule ukuta wa mimba umemomonyoka utoke kwa ajili ya next cycle ya kumpokea mtoto atakayekuja afu mimba itokee wapi na wapi? Kwa yai lipi? Uyo mtoto atajiatach vp kwenye uterus akati lining ishabomoka.. nonsense!
Sent using Jamii Forums mobile app