Hii michezo imeanza zamani kumbe

Hii michezo imeanza zamani kumbe

Muulize utajua kwa Nini wasukuma tinachekwa japo vijiji vyetu havina hali mbaya kama ya wanaotucheka pamoja na unyama tukio fanyiwa kwa kivuli cha uzalendo
kumbe kuna story behind! sijawahi kujua sio siri duhh.. asante kunifumbua macho dada'ake!
 
Nyerere pamoja na baadhi ya mazuri yake lakini tupo hapa tulipo kama taifa kwasababu ya baadhi ya maamuzi mabaya na ya kukurupuka ya Baba wa Taifa Julius Nyerere, Kuanzia Muungano mpaka Katiba
 
Hata kizazi kijacho kitashangaa nxhi yenye wasomi na watu wenye uelewa, mtangaza nia anapitishwa kwa "Azimio', na kwenye uchaguzi anapata 98% ya kura mil 32
 
View attachment 3606139

Ukiweka ndio ni ule upande wake yaani yeye.

Ukiweka hapana ni upande wa kivuli na automatically unakuwa umechagua ndiyo 😂
michezo imeanza kitambo na hichoo.

Kwahiyo wapinzani hawakuepo kabisa enzi hizoo

Nachoka mimi na haya mambo
Umri wako tu.

Na ndio maana Sasa kuletwa kwa somo la history na maadili huko shuleni.
 
Back
Top Bottom