Hii michezo imeanza zamani kumbe

Hii michezo imeanza zamani kumbe

Afisa_Nkai

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2025
Posts
492
Reaction score
1,040
20260612_125331.jpg


Ukiweka ndio ni ule upande wake yaani yeye.

Ukiweka hapana ni upande wa kivuli na automatically unakuwa umechagua ndiyo 😂
michezo imeanza kitambo na hichoo.

Kwahiyo wapinzani hawakuepo kabisa enzi hizoo

Nachoka mimi na haya mambo
 
View attachment 3606139

Ukiweka ndio ni ule upande wake yaani yeye.

Ukiweka hapana ni upande wa kivuli na automatically unakuwa umechagua ndiyo 😂
michezo imeanza kitambo na hichoo.

Kwahiyo wapinzani hawakuepo kabisa enzi hizoo

Nachoka mimi na haya mambo
Chama kimoja kilikuwa hakina mpinzani, Rais ushindi wa kishindo kila miaka mitano. Kidogo ligi ilikuwa kwa wabunge.
 
Ilikuwa matumizi mabaya ya muda na hela, Kura ya mtu na kivuli ya nini sasa? tuchague kivuli
 
View attachment 3606139

Ukiweka ndio ni ule upande wake yaani yeye.

Ukiweka hapana ni upande wa kivuli na automatically unakuwa umechagua ndiyo 😂
michezo imeanza kitambo na hichoo.

Kwahiyo wapinzani hawakuepo kabisa enzi hizoo

Nachoka mimi na haya mambo
Duuh,umenikumbusha mbali sana!Kwa wabunge chagua nyumba au jembe!
 
Back
Top Bottom