Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Wakuu kuanzia jana naona vyombo vingi vya habari vilianza kurusha kuwa Paul Makonda atachukua fomu kesho (ambayo ndiyo leo) ikatangazwa uwepo wa nyama choma nk.
Leo siku ya tukio 26 Aug, 2025) ameenda kuchukua fomu akifuatana na nyomi ya watu ikiwa na ngu za chama lakini kubwa zaidi zikiwa na jina lake. Vyombo vya habari vimeendelea kupaza sauti na kelele kwa wingi kiasi kwamba ukiingia mitandaoni leo haswa Instagram kwa kiasi kikubwa ametamalaki yeye tu.
Nilichokuwa najiuliza
A) Anataka kuonesha nini? Je kuna mtu ana kisasi naye kwahiyo anamtambia ama?
B) Gharama anazotumia ni kutoka wapi? Je ni mfukoni mwake?
C) Na kama ni mfukoni mwake anategemea return gani? Kwamba ubunge ni biashara kubwa kiasi hiki?
===
Nyama choma
Kofia zenye jina lake
Mabango
Leo siku ya tukio 26 Aug, 2025) ameenda kuchukua fomu akifuatana na nyomi ya watu ikiwa na ngu za chama lakini kubwa zaidi zikiwa na jina lake. Vyombo vya habari vimeendelea kupaza sauti na kelele kwa wingi kiasi kwamba ukiingia mitandaoni leo haswa Instagram kwa kiasi kikubwa ametamalaki yeye tu.
Nilichokuwa najiuliza
A) Anataka kuonesha nini? Je kuna mtu ana kisasi naye kwahiyo anamtambia ama?
B) Gharama anazotumia ni kutoka wapi? Je ni mfukoni mwake?
C) Na kama ni mfukoni mwake anategemea return gani? Kwamba ubunge ni biashara kubwa kiasi hiki?
===
Nyama choma
Kofia zenye jina lake
Mabango