SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Kiswahili fasaha ni kitoweomi najua mboga nikile kinachosindikiza/rahisisha ulaji. Kama vile ugali na mboga ( nyama, dagaa, majani).
Au sio sahihi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiswahili fasaha ni kitoweomi najua mboga nikile kinachosindikiza/rahisisha ulaji. Kama vile ugali na mboga ( nyama, dagaa, majani).
Au sio sahihi?
Nguvu za kiume
Inaongeza nguvu za kiume.
Huongeza madini mwilini, lakini wengi huilia shida tuuu Wala sio mapenzi yao Mkuu
Ya CHUMAMadini yapo mengi,sema madini gani?😃😃
ni matundaSawa lakini dagaa sio mboga
Pia huipa mifupa uimara.Na ndo maana watu was mivunjiko hushairiwa wanted subu ya dagaa ili kurahisisha uponajjiMadini ya chuma na protini: protini husaidia kujenga mwili, madini ya chuma husaidia katika utengenezwaji wa damu mwilini...
Sent using Jamii Forums mobile app
unapita karibu mno na majibu wanayoyataka waambie wachanganye na nyanya chungu yaishe
He! kwa hiyo tuogope kuila kwaajiri ya UVIKO kwa kuwa inaondoa umbali kati yako na jirani yako! vinginevyo siku ya kula ikutane na kodi ya mwenye nyumba au mtoto kafukuzwa ada. utatia akiliKuanzia kesho ndio mboga yangu
Jr
Ya Tanzanite, almasi, shaba au Ruby?
DHAHABUYa Tanzanite, almasi, shaba au Ruby?
Na Iron. Wala dagaa huwa Wana akili Ila ni dagaa za maji baridi Tu. Maji chumvi hapana.