Hii mboga inafaida gani mwilini?

Hii mboga inafaida gani mwilini?

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
1,560
Reaction score
3,822
IMG_20200328_123312_7.jpg
 
Daaah wanakosea sana hadi inaanza kuzoeleka ati nyama nayo ni mboga na samaki pia ni mboga. Sisi waswahili mboga ni mchicha, kisamvu nakadhalika
mi najua mboga nikile kinachosindikiza/rahisisha ulaji. Kama vile ugali na mboga ( nyama, dagaa, majani).
Au sio sahihi?
 
mi najua mboga nikile kinachosindikiza/rahisisha ulaji. Kama vile ugali na mboga ( nyama, dagaa, majani).
Au sio sahihi?
Sio ssahihi kabisa hivyo vyote vinaitwa vitoweo
 
Back
Top Bottom