Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,446
- 1,812
Hyo ndiyo kigodolo?
Vigodoro ndio vinini!!!!!!1
Jambo wanajamvi,kuna kero nyingi zitokanazo na vigodoro ikiwemo kusababisha watu kutolala vipigwapo usiku lakini kibaya zaidi hao wanaoitwa madj kutoa matusi ya nguoni na k usabisha watoto wadogo kuwaiga na kuleta tafrani katika mitaa na watoto hao wasiojua kitu kuadhibiwa na wazazi wao
Kwa hiyo kile kibao cha karibu Dar na kwaheri Dar kinahusika....ameni uswahilini nenda pembezoni mwa miji - kwetu Nyamhongoro hakuna kitu kama hicho; makelele tunaachana nayo tukishavuka St. Mary's school
kweli kinahusika hata kwangu pia....!Kwa hiyo kile kibao cha karibu Dar na kwaheri Dar kinahusika....
Hii ni taarifa au ni muhtasali.......?
Ila hii ilikuwa poa zaidi kama ungeanzia kwa barozi wa mnyumba kumi, sababu kuna wengine hata vigodoro hawa jui umemanisha nini hili jina linafahamika sana kwa wenyeji wa dar lakini mikoani ni msamiati.
Msaada kwa asiye jua vigodoro(disko vumbi)..
Aende Serikali ya mtaa na si huyo mtu uliyemtaja kwenye kipindi hiki cha vyama vingi
bpVigodoro ndio vinini!!!!!!1
Ni miziki ya kudumisha mila lkn huwa inakuwa taarabu au hiyo michiriku.Inapigwa usiku kucha na wengine hata wiki.Huwa wanafanya katika sherehe za kuwafunda/ kuwatoa watoto ndani wanaoingia usichana au kubalehe.Wazaramo na watu wa lindi nadhani wamakonde ndio mila zao