Hii 'Mashemeji derby' inaenda kufuta ule upuuzi wa Kariakoo

Hii 'Mashemeji derby' inaenda kufuta ule upuuzi wa Kariakoo

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
11,498
Reaction score
27,280
Kipindi tukibaki na usingizi wa "derby ya tano afrika"naangalia mashemeji derby ikiwa imenoga sana hapa
Hii inanifariji kwamba ule upuuzi wa kariakoo huenda ukafutika mda si mrefu kwa kupata mbadala wake na utabaki kuwa wa viongozi na wanasiasa
 
Kipindi tukibaki na usingizi wa "derby ya tano afrika"naangalia mashemeji derby ikiwa imenoga sana hapa
Hii inanifariji kwamba ule upuuzi wa kariakoo huenda ukafutika mda si mrefu kwa kupata mbadala wake na utabaki kuwa wa viongozi na wanasiasa
Hii game zaidi ya promo kubwa, kwenye pitch hamana kitu cha ufundi zaidi ya minguvu tu! Wachezaji hata kutuliza mpira ni shida🤣🙌🙌
 
Nacheki hii game
Wanacheza kama mechi za simba na yanga ya miaka 15 au 20 huko nyuma
mpira wa kizamani sana huu wa kukamiana kizembe hivi
mpira ni nguvu nguvu nguvu na kukimbazana kama mang'ombe tu
mpira hauna maarifa wala ufundi ni zero
waaxhe ujinga walete foreign pros wawasaidie kubadilisha soka la kinazi hili
makelele tu kibao
 
Nacheki hii game
Wanacheza kama mechi za simba na yanga ya miaka 15 au 20 huko nyuma
mpira wa kizamani sana huu wa kukamiana kizembe hivi
mpira ni nguvu nguvu nguvu na kukimbazana kama mang'ombe tu
mpira hauna maarifa wala ufundi ni zero
waaxhe ujinga walete foreign pros wawasaidie kubadilisha soka la kinazi hili
makelele tu kibao
Walikuwa na foreigners wengi TU enzi ikiwa derby kweli ikafa Sasa inarejea ni kweli wanahitaji pro wakuweka radha kwenye derby
 
Back
Top Bottom