Habari wakuu!
Bila shaka kila MTU amekuwa akisikia lugha hii ya kwamba nchi yetu ilikuwa imefika pabaya. miongoni mwa watu wanaopenda kuongea hivi yumo pia Rais wetu na viongozi mbalimbali.
Cha kushangaza na cha kujiuliza ni watu gani hao walioifikisha nchi yetu kwenye hali mbaya? wako wapi, nchini, nje ya nchi, au wamekwishafariki?
Nasema lugha hii inakera na ni ya kejeli kwa sababu wanaotumia lugha hiyo ndio kikosi kile kile kilichokuwa serikalini, kilichobadilika ni kubadilishana nyadhifa lakini bado ni wale wale.
ndio maana Leo utasikia nchi ilikuwa imefika pabaya lakini kesho utamsikia huyohuyo kuwa atawalinda wale walioifikisha nchi pabaya.
ccm tuache usanii
Bila shaka kila MTU amekuwa akisikia lugha hii ya kwamba nchi yetu ilikuwa imefika pabaya. miongoni mwa watu wanaopenda kuongea hivi yumo pia Rais wetu na viongozi mbalimbali.
Cha kushangaza na cha kujiuliza ni watu gani hao walioifikisha nchi yetu kwenye hali mbaya? wako wapi, nchini, nje ya nchi, au wamekwishafariki?
Nasema lugha hii inakera na ni ya kejeli kwa sababu wanaotumia lugha hiyo ndio kikosi kile kile kilichokuwa serikalini, kilichobadilika ni kubadilishana nyadhifa lakini bado ni wale wale.
ndio maana Leo utasikia nchi ilikuwa imefika pabaya lakini kesho utamsikia huyohuyo kuwa atawalinda wale walioifikisha nchi pabaya.
ccm tuache usanii