Hii kweli ni New York ya Marekani ?

Hii kweli ni New York ya Marekani ?

Ni rahisi kujua katika Hiyo nguzo kanyaga mara SABA ukiona panafunguka hapo chini Kuna njia kama ya handaki inakupeleka TEXAS jaribu uniambie namana mtaa niliokuwa nakaa ulikuwa namna hiyo
 
Inaonekana wewe katika maisha yako hujawahi kufika kabisa Marekani na kuelewa watu wa rangi mbalimbali waishio Marekani mfumo wao wa maisha ukoje na unachagizwa na nini.

Bila shaka hao ni jamii ya watu weusi na asili ya mfumo wao wa maisha unajulikana vema hata waende wapi katika sayari hii na wewe huwezi kulifahamu hilo kwa sababu aidha hujatembea au hauna utamaduni wa kujisomea.
 
Inaonekana wewe katika maisha yako hujawahi kufika kabisa Marekani na kuelewa watu wa rangi mbalimbali waishio Marekani mfumo wao wa maisha ukoje na unachagizwa na nini.

Bila shaka hao ni jamii ya watu weusi na asili ya mfumo wao wa maisha unajulikana vema hata waende wapi katika sayari hii na wewe huwezi kulifahamu hilo kwa sababu aidha hujatembea au hauna utamaduni wa kujisomea.
Sasa watu wote watafika vipi Marekani?Kwani Marekani ni peponi?Sumtime inabidi ufiche upumbavu wako kenge maji.
 
Marekani sio mbinguni.ndo kwenyewe hapo.ndugu zako wakiwa marekani acha kuwa sumbus na kuomba omba hela.kuna familia mama yao yupo marekani akachukua na watoto wake.lakini wanashindwa kumalizia mjengo wao bongo.siwasemi vibaya ila tujue maisha marekani hayapo jinsi tunavyodhani
 
Sasa watu wote watafika vipi Marekani?Kwani Marekani ni peponi?Sumtime inabidi ufiche upumbavu wako kenge maji.
Ni nchi ambayo kila mtu duniani anatamani kufika kama siyo kuzamia kabisa.

Nimejaribu kuepuka matusi ili utofauti uwepo kwani sio wote wanaweza kupata elimu ya imani ya kidini ambayo msingi wake mkuu ni kufundishwa uhalifu na matusi dhidi ya watu wenye imani tofauti.
 
Back
Top Bottom