Hii kweli ni New York ya Marekani ?

Hii kweli ni New York ya Marekani ?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,262
Reaction score
90,371
Nimeona mtandaoni watu wakiijadili hii picha wakisema ni New York ya U.S.A!

Mbona hapa ni kama Mbagala au Karume tu?!

20250812_140712.jpg
 
Yaani Karume au mbagala upate nafasi ya kupicha kali na imetulia namna hiyo??

Labda uwe juu ya daraja pale machinga complex au daraja la mbagara rangi tatu napo huko ukae kwa umakini wa hali ya juu.

Hapo ni NY city mkuu.
Machinga kibao kama Mbagara Rangi Tatu.
 
Umefika Brooklyn ukaona Mara nyingi mitaa ya black inafanana dunia nzima utofauti huko mtoni Serikali zao zinawajali Sana.
 
Back
Top Bottom