mr mpole
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 418
- 170
nashauri lianzishwe jukwaa la watoto.
Likahanzishwe facebook
nashauri lianzishwe jukwaa la watoto.
Likahanzishwe facebook
Niaje waungwana
jana kama kawaida yangu ktk mishemishe za kusaka dough(pesa) ikafika muda wa kurudi hostel pande za mabibo nikakutana na bonge la saplaizi binti niliempenda kwa muda mrefu nikamkuta na swaiba zangu wamepamba getto fresh then akasema amekubali ombi langu nililomweleza muda mrefu one more time ya busy signal ikapgwa daah nikamkumbatia m'babez wa ukweli asee usiombe ilikua hatari tupu mbaya zaidi ilikua siku yangu ya kuzaliwa....
How old are you??
Sasa hapo unatupa taarifa au unaomba ushauri? Mods kulikoni mnaacha mambo kama haya yawepo ??