Anthony Threedeyea
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 471
- 47
Niaje waungwana
jana kama kawaida yangu ktk mishemishe za kusaka dough(pesa) ikafika muda wa kurudi hostel pande za mabibo nikakutana na bonge la saplaizi binti niliempenda kwa muda mrefu nikamkuta na swaiba zangu wamepamba getto fresh then akasema amekubali ombi langu nililomweleza muda mrefu one more time ya busy signal ikapgwa daah nikamkumbatia m'babez wa ukweli asee usiombe ilikua hatari tupu mbaya zaidi ilikua siku yangu ya kuzaliwa....
nashauri lianzishwe jukwaa la watoto.
Aisee sidhani kama Moyes atamaliza msimu yule. lazma atimuliwe.
subiri kuchunwa mpaka ukome, longtime hiyo kuna mwenzako alikuwa nakamuliwa, its your time
Niaje waungwana
jana kama kawaida yangu ktk mishemishe za kusaka dough(pesa) ikafika muda wa kurudi hostel pande za mabibo nikakutana na bonge la saplaizi binti niliempenda kwa muda mrefu nikamkuta na swaiba zangu wamepamba getto fresh then akasema amekubali ombi langu nililomweleza muda mrefu one more time ya busy signal ikapgwa daah nikamkumbatia m'babez wa ukweli asee usiombe ilikua hatari tupu mbaya zaidi ilikua siku yangu ya kuzaliwa....