Sina maslahi yoyote binafsi endapo angechaguliwa kuwa rais.. Lakini kiukweli moja ya ndoto zangu za maisha ni lowassa kuwa rais wa nchi hii... Roho inaniuma sana nikifikiria walivyomdhulumu na hatimae kukosa urais. Hata magufuli afanye jambo la maana kiasi gani hili suala la lowasa kukosa urais litaniuma moyo kwa miaka mingi sana.
Sisi tunachotaka ni Kazi tu na Kazi inafanyika Mungu atupe nini tena jameni..Jembe Mafufuli anapiga kazi mpaka wanamtamani hapo Kenya
Saga chupa za coca Cola zen changanya na soda baada ya hapo chukua panadol tembe 5 meza kwa kutumia mchanganyiko wa Soda na vipande vya chupa utasahau matukio yaliyopita yote.
Kama ulimpigia kula wenzio waliojaza mikutano ya UKAWA mkaamini mtashinda walimpigia Magufuli, hivyo hizo imani zako zilikuwa fake.
Kamsaidie Mzee Lowasa kufagia mazizi ya ng'ombe Monduli.
Eti unauchungu, au na wewe una majipu yatumbuliwe???
tupo wengi kamanda, tunayoyaona sasa ingekuwa ni zaidi kama mara tano hivi.tulipoteza jembe.
Kilichobaki ni kwenda kulala na fisadi Lowasa tu ili moyo wako usizidi kuumia natumaini baada ya hapo utapoa tu, ila kuwa mwangalifu na mama Lowasa asije akakupiga na kitu chenye ncha kali!
Kiuhalisia lowasa alishinda ila ameibiwa... Hiko ndo kinachoniuma zaidi
Kura ni siri ya mtu,utakapokuja kuelewa hili hautokuja umia uchaguzi ujao
yeye ndo Anamfanya magufuli Akimbie saaanat
Mimi namshukuru Mungu kwa kuniweka hai hadi sasa hivi sijui imewezekanaje nilishakata tamaa na maisha kabisa kipenzi na rais wa mioyo ya watanzania alivyodhulumiwa. Nipo Nipo tu
''Walivyomdhulumu........!!!!!????''
Acheni kuleta vitu vya kusadikika.
Khaa!! Kwani mwenzetu wewe ulimpigia kura ngapi ? Kuna wenzako walikwisha nunua suti zao, na za wake zao na watoto wao ili wavae wakati wakiapishwa uwaziri wamekubali matokeo sasa watazivaa K'mas :crazy:
Tafuta demu ambaye ni ccm hakika utayatibu maradhi yako yoote.
Huo ni utaaahira. Urais akose mwingine wewe uumie maisha yako yote??
sio wewe tu ndugu yangu tuko wengi sema baaasi tuu.ya Mungu mengi naombea kila siku jpm ajiuzulu tuchague upya