Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,869
- 29,031
Ugua pole
Sina maslahi yoyote binafsi endapo angechaguliwa kuwa rais.. Lakini kiukweli moja ya ndoto zangu za maisha ni lowassa kuwa rais wa nchi hii... Roho inaniuma sana nikifikiria walivyomdhulumu na hatimae kukosa urais. Hata magufuli afanye jambo la maana kiasi gani hili suala la lowasa kukosa urais litaniuma moyo kwa miaka mingi sana.
yeye ndo Anamfanya magufuli Akimbie saaanat
Hahahahaha sasa Lowasa angeweza kasi hii si nayeye angeanza kugawa vyeo kwa wanamtandaoSina maslahi yoyote binafsi endapo angechaguliwa kuwa rais.. Lakini kiukweli moja ya ndoto zangu za maisha ni lowassa kuwa rais wa nchi hii... Roho inaniuma sana nikifikiria walivyomdhulumu na hatimae kukosa urais. Hata magufuli afanye jambo la maana kiasi gani hili suala la lowasa kukosa urais litaniuma moyo kwa miaka mingi sana.
nimecheka hasa na kuikumbuka siku ya leoUlivyotaja Lowassa na Urais ghafla nimesikia
sauti ya Lubuva akitamka Hashim Rungwe Spunda Kura 56 sawa na asilimia sifuri nukta sifuri sifuri moja.
Sina maslahi yoyote binafsi endapo angechaguliwa kuwa rais.. Lakini kiukweli moja ya ndoto zangu za maisha ni lowassa kuwa rais wa nchi hii... Roho inaniuma sana nikifikiria walivyomdhulumu na hatimae kukosa urais. Hata magufuli afanye jambo la maana kiasi gani hili suala la lowasa kukosa urais litaniuma moyo kwa miaka mingi sana.
Khaa!! Kwani mwenzetu wewe ulimpigia kura ngapi ? Kuna wenzako walikwisha nunua suti zao, na za wake zao na watoto wao ili wavae wakati wakiapishwa uwaziri wamekubali matokeo sasa watazivaa K'mas :crazy:Sina maslahi yoyote binafsi endapo angechaguliwa kuwa rais.. Lakini kiukweli moja ya ndoto zangu za maisha ni lowassa kuwa rais wa nchi hii... Roho inaniuma sana nikifikiria walivyomdhulumu na hatimae kukosa urais. Hata magufuli afanye jambo la maana kiasi gani hili suala la lowasa kukosa urais litaniuma moyo kwa miaka mingi sana.
Kilichobaki ni kwenda kulala na fisadi Lowasa tu ili moyo wako usizidi kuumia natumaini baada ya hapo utapoa tu, ila kuwa mwangalifu na mama Lowasa asije akakupiga na kitu chenye ncha kali!
Kama ulimpigia kula wenzio waliojaza mikutano ya UKAWA mkaamini mtashinda walimpigia Magufuli, hivyo hizo imani zako zilikuwa fake.
Kamsaidie Mzee Lowasa kufagia mazizi ya ng'ombe Monduli.
Eti unauchungu, au na wewe una majipu yatumbuliwe???
Kuna Balaa ama unalitafuta au linakutafuta. Stay tuned.Kilichobaki ni kwenda kulala na fisadi Lowasa tu ili moyo wako usizidi kuumia natumaini baada ya hapo utapoa tu, ila kuwa mwangalifu na mama Lowasa asije akakupiga na kitu chenye ncha kali!
kama unataka kusahau uwe unaangalia sana tbc1 ikishindikana kula malimao kwa wingiSina maslahi yoyote binafsi endapo angechaguliwa kuwa rais.. Lakini kiukweli moja ya ndoto zangu za maisha ni lowassa kuwa rais wa nchi hii... Roho inaniuma sana nikifikiria walivyomdhulumu na hatimae kukosa urais. Hata magufuli afanye jambo la maana kiasi gani hili suala la lowasa kukosa urais litaniuma moyo kwa miaka mingi sana.
Sina maslahi yoyote binafsi endapo angechaguliwa kuwa rais.. Lakini kiukweli moja ya ndoto zangu za maisha ni lowassa kuwa rais wa nchi hii... Roho inaniuma sana nikifikiria walivyomdhulumu na hatimae kukosa urais. Hata magufuli afanye jambo la maana kiasi gani hili suala la lowasa kukosa urais litaniuma moyo kwa miaka mingi sana.
ni kwako alikua kipenzi na watanzani wachache , wengine tulikua upande mwingine wa vyama hivyo usitujumuishe ndio maana hutasahau kwa sababu unaikubalisha akili yako kuwa wote tulimpenda.Mimi namshukuru Mungu kwa kuniweka hai hadi sasa hivi sijui imewezekanaje nilishakata tamaa na maisha kabisa kipenzi na rais wa mioyo ya watanzania alivyodhulumiwa. Nipo Nipo tu
🐗🐗 wee, 👌👌
Hukujua vote rigging happened, and that was the fact...!!! Just to awaken wee n.guruwe pori, without Lowassa, Upinzani imara, HAKUNA MAENDELEO... na Lowassa alishinda... na tuna uchungu mkuu, na though Magufuli ameanza vizuri kinyume na Ilani ya CCM sbb anafanya yale wapinzani walikuwa wanapigia kelele, but MAGUFULI TO OVERCOME THE SYSTEM ya CCM akiwa pekee ni ngumu kwa kweli, ndio maana anasema TUMUOMBEA MUNGU... na ni kwambie wee ngu.ruwe pori, UPINZANI IMARA ndio huifanya serikali yoyote iliyoko madarani KUFANYA KAZI KWELI KWELI ili ipate kubakia madarakani..in doing so MAENDELEO YA KUONEKANA HUTOKEA... that is our AIM 👉 Maendeleo.... umeelewa wee 🐗🐗
👌👌 🐗🐗 wee... 🚶🚶🚶