Hii kitu inawatokeaga na nyie?

Hii kitu inawatokeaga na nyie?

Daniel Adrian

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2019
Posts
311
Reaction score
335
Kuna ile situation mtaani kuna msichana mmoja hivi. Mkaliii ila malaya. Kasharuka na mabaharia wengi wa mtaani. Bado yupo katika mahusiano na wanaume kama watatu hivi, wenyewe hawajui kama wana-share mwanamke mmoja. Humpendi wala humuwazii kama atakuja kuwa mkeo.

Katika pita pita za hapa na pale mnakutana, anakutega unaingia. Ukishaingia tu unajikuta umekufa. Roho inauma maana ukifikiria girl mwenyewe kama cha wote na we ndo ushamfia mazima.

Ukiangalia girl anakuheshimu kama mme wake.

Unafanyaje katika mazingira ya hivyo?

Unamtoa katika tabia zake au? Lakini unakumbuka 'samaki hukunjwa angali mbichi'.

Situation kama hii ishakutokea?
 
Kuna ile situation mtaani kuna msichana mmoja hivi. Mkaliii ila malaya. Kasharuka na mabaharia wengi wa mtaani. Bado yupo katika mahusiano na wanaume kama watatu hivi, wenyewe hawajui kama wana-share mwanamke mmoja. Humpendi wala humuwazii kama atakuja kuwa mkeo.

Katika pita pita za hapa na pale mnakutana, anakutega unaingia. Ukishaingia tu unajikuta umekufa. Roho inauma maana ukifikiria girl mwenyewe kama cha wote na we ndo ushamfia mazima.

Ukiangalia girl anakuheshimu kama mme wake.

Unafanyaje katika mazingira ya hivyo ?

Unamtoa katika tabia zake au ? Lakini unakumbuka 'samaki hukunjwa angali mbichi'.

Situation kama hii ishakutokea ?
Tembea na Biblia popote pale ukiwa naye, ukiwa pekeyako au ukiwa miongoni mwa watu ili wakikujeli wachambulie lile andiko linenanalo;

"Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya."

2WAKORINTHO 5:17.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Umenasa kwa sababu ulikua unamtamani sku zote na yawezekana alikua anakuchomolea Sasa umempata unataka uweke kambi...! Kwenye mapito yako ungekua na uwezo wa kujaza ma ex wako kwa kiliamanjaro express usingedata hvo Kiboya...
 
Umenasa kwa sababu ulikua unamtamani sku zote na yawezekana alikua anakuchomolea Sasa umempata unataka uweke kambi...! Kwenye mapito yako ungekua na uwezo wa kujaza ma ex wako kwa kiliamanjaro express usingedata hvo Kiboya...
Naaam
 
Usiumize kichwa sana mtu habadiriki kwa sababu unampenda bali anaweza badirika kwa sababu anakupenda
 
Umenasa kwa sababu ulikua unamtamani sku zote na yawezekana alikua anakuchomolea Sasa umempata unataka uweke kambi...! Kwenye mapito yako ungekua na uwezo wa kujaza ma ex wako kwa kiliamanjaro express usingedata hvo Kiboya...
Hata we ungedata man. Huyu girl anajua vitu vingi
 
Hakuna kitu kinauma kama kuzaa na malaya bado una nafasi ya kuachana na majuto badae amini utalia kilio cha mbwa mkuu jaribu kuzaa nae.

Iyo unajipa moto tu et atabadirika ujawajua malaya vzr ww
 
Tembea na Biblia popote pale ukiwa naye, ukiwa pekeyako au ukiwa miongoni mwa watu ili wakikujeli wachambulie lile andiko linenanalo;

"Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya."

2WAKORINTHO 5:17.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Hii itabadili vipi tabia za mwanamke?
 
images (2) (21).jpeg
 
Back
Top Bottom