MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Wananchi tunataka kusikia majambazi kadhaa walijeruhiwa wakati wa majibizano ya risasi na polisi lakini walifia njiani wakati wakiwahishwa hospitali, full stopDawayao hao ni kuwamaliza kimya kimya kama zile enzi za zile Defender TZR
Leo katika shughuli ya ufunguzi wa kituo cha kisasa cha mawasiliano cha polisi katika kukabiliana na uhalifu, Mh. Rais Magufuli amewaagiza polisi kwa msisitizo kuwa mnapowakamata majambazi wenye Silaha muwe mnawakamata haraka huku akisisitiza nadhani mnanielewa.
Mimi binafsi nimefurahishwa sana na agizo hilo maana majambazi yamezidi kiasi kwamba inatishia usalama wa nchi.
Mkuu hiyo maana yake hiyo ndiyo hata wananchi tumeipenda maana tatizo litaisha kabisa badala ya kupunguaMuwakamate haraka na polisi atakayewakamata haraka asipelekwe mahakamni, bali apandishwe cheo. Tuliopitia jeshini, tunaelewa maana yake.
Mkuu kwani majambazi wanachagua vyama?Ngoja waje wapinzani na wale wa haki za binadamu
Mkuu kwani majambazi wanachagua vyama?
Kwi kwi kwi pole mkuu kwi kwi kwi kwiMods mtaniua kwa ban haki ya nani, mbona comment mliyoshikilia ni ya kawaida sana.
Muwe na huruma jamani!
Juzi tu nimemaliza ban, leo mkinipiga tena si balaa!
Mkuu mm mwenyewe ndo namaliza kuugulia maumivu ya ban! Pole xana!Mods mtaniua kwa ban haki ya nani, mbona comment mliyoshikilia ni ya kawaida sana.
Muwe na huruma jamani!
Juzi tu nimemaliza ban, leo mkinipiga tena si balaa!
Mmmm, isije ikawa hao anaowaambia wakamate majambazi haraka wakawa ndio majambazi yenyewe!Leo katika shughuli ya ufunguzi wa kituo cha kisasa cha mawasiliano cha polisi katika kukabiliana na uhalifu, Mh. Rais Magufuli amewaagiza polisi kwa msisitizo kuwa mnapowakamata majambazi wenye Silaha muwe mnawakamata haraka huku akisisitiza nadhani mnanielewa.
Mimi binafsi nimefurahishwa sana na agizo hilo maana majambazi yamezidi kiasi kwamba inatishia usalama wa nchi.