Duh🥺🤔🙇🏿♂Makonda ana uwezo kumsaidia mfungwa Yoyote akaachiwa huru.
Eti alipambania penzi la Majizo! Huku wasio na Konekseni wanasota jela.
Kauli ya ajabu sana na isiyofaa
Sheria ziko zaidi kwa watu masikini, wasio maarufu au na connections.Upumbavu mkubwa. Kwa hiyo wafungwa maarufu wapo juu ya sheria.?
Mtu akitubu hautakiwi kumkemea au kumwambia "anasema maneno yasiyofaa".Makonda ana uwezo kumsaidia mfungwa Yoyote akaachiwa huru.
Eti alipambania penzi la Majizo! Huku wasio na Konekseni wanasota jela.
Kauli ya ajabu sana na isiyofaaView attachment 3558143
Rostam Aziz alishawahi kusema kuwa mahakama ipo compromised kwa watawala.
Watu hawakutilia maanani. But yes muhimili uko compromised is why kuna kesi za ajab ajabRostam Aziz alishawahi kusema kuwa mahakama ipo compromised kwa watawala.
Hili jitu ni jinga sijui litakua liniMakonda ana uwezo kumsaidia mfungwa Yoyote akaachiwa huru.
Eti alipambania penzi la Majizo! Huku wasio na Konekseni wanasota jela.
Kauli ya ajabu sana na isiyofaaView attachment 3558143
TL pekeyake hawezi, tutamlaumu bure tu.Moja ya sababu kuu ninayomuunga mkono Tundu Lissu ni kwa sababu naamini mfumo wa haki, sheria na Mahakama wa Tanzania inabidi ufumuliwe wote na kujengwa upya. Namuona Lissu kwa "passion" yake kwenye masuala ya haki na sheria, akipata huo upenyo hilo linaweza kuwa moja ya vipaumbele vyake.
Nakubaliana na wewe ila bado unahitaji muongoza njia. Mpaka sasa, Heche anaonyesha ana muelekeo huo huo wa kuwa msaidizi wake katika maono hayo.TL pekeyake hawezi, tutamlaumu bure tu.
Tunatakiwa tupate akina Lissu kama 20 hivi kwa kuanzia.
Huyu jamaa ni mhalifu mkubwa sana.Makonda ana uwezo kumsaidia mfungwa Yoyote akaachiwa huru.
Eti alipambania penzi la Majizo! Huku wasio na Konekseni wanasota jela.
Kauli ya ajabu sana na isiyofaaView attachment 3558143
Ni vigumu sana kwa sasa, watu wamepigwa rungu mpaka wamejikatia tamaa.TL pekeyake hawezi, tutamlaumu bure tu.
Tunatakiwa tupate akina Lissu kama 20 hivi kwa kuanzia.