Hii katuni ya Kipanya hatari, sio kwa mbeleko hii

Hii katuni ya Kipanya hatari, sio kwa mbeleko hii

Hili si la uongo, mi nakereka watu wamefukuzwa kazi tena wengine wakiwa watendaji na watumishi wazuri kabisa, kisa vyeti vyao vina kasoro na vingine havionekani . Leo Bashite aliyetaga na kudandia vyeti vya mtu mwingine ni shujaa wa mkulu????!!! (DOUBLE STANDARD)
Mimi namsikitikia mramba wa tanesco
 
Baba na mwana wametoka kwenye mapambano ila tayari ni jioni na wanavuka mto kuna hatari ya kutoona vizuri kina cha maji ila anapima kwa mkongojo.
 
Cartoon inafanana na yule zee na dog wake kutwa akimuita Stupid DoG

images
 
Hili si la uongo, mi nakereka watu wamefukuzwa kazi tena wengine wakiwa watendaji na watumishi wazuri kabisa, kisa vyeti vyao vina kasoro na vingine havionekani . Leo Bashite aliyetaga na kudandia vyeti vya mtu mwingine ni shujaa wa mkulu????!!! (DOUBLE STANDARD)
Rahisi sana kumuadhibu wa kambo kuliko wa kuzaa mwenyewe
 
Mmh!
Ina ujumbe mzito sana na wenye Ukweli.
Magufuli na Makonda wanamvutia kasi Masoud Kipanya, ipo siku ataingia kwenye mtego wao na hapo atakiona cha moto.
kwanini hofu kama hii iendelee kutanda kwanini tunafunika uhuru wetu na haki zetu za msingi kwa hofu isiyo na maana
 
Kuna watu wanapenda kuona watu wamekasirika Kwa matendo yake ya kuudhi
 
Ujumbe umeisha fika anajiamini mno ndio uanaume kama Maulidi kitenge
 
Back
Top Bottom