Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,418
Habari wandugu,
Hivi karibuni nimekuwa nikitaka kuwasiliana na hii kampuni ya altaf inayotengeneza haya mabati tunayoyaita "Msauz", kwa kweli wamenichusha na hawajielewi hata kidogo.
Hawa mameneja wa hii kampuni nina mashaka na utendaji kazi wao, hivi katika dunia ya leo inakuwaje wafanya biashara wanakuwa hivi?
Niliwaandikia email kupitia kwenye website yao. Email address yao ni sales.alaf@safalgroup.com
Nimewapigia simu tangu jana around 04:55 pm hazikupokelewa hata land lines zao na nikapiga na namba ya voda pia ipo kwenye website yao haikupokelewa nkahisi labda muda wa kazi umekwisha, nimewapigia sasa hivi simu hazipokelewi hawa jamaa maku.... nini?
Namba zao za simu nilizopiga ni 022-2860010, 022-2860011, 022-2860012, 022-2860013, 022-2860014 na ya voda ni 0768- 555560
Acheni ujinga ALAF
Hivi karibuni nimekuwa nikitaka kuwasiliana na hii kampuni ya altaf inayotengeneza haya mabati tunayoyaita "Msauz", kwa kweli wamenichusha na hawajielewi hata kidogo.
Hawa mameneja wa hii kampuni nina mashaka na utendaji kazi wao, hivi katika dunia ya leo inakuwaje wafanya biashara wanakuwa hivi?
Niliwaandikia email kupitia kwenye website yao. Email address yao ni sales.alaf@safalgroup.com
Nimewapigia simu tangu jana around 04:55 pm hazikupokelewa hata land lines zao na nikapiga na namba ya voda pia ipo kwenye website yao haikupokelewa nkahisi labda muda wa kazi umekwisha, nimewapigia sasa hivi simu hazipokelewi hawa jamaa maku.... nini?
Namba zao za simu nilizopiga ni 022-2860010, 022-2860011, 022-2860012, 022-2860013, 022-2860014 na ya voda ni 0768- 555560
Acheni ujinga ALAF