The Guitarist
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,428
- 4,774
hauko makini na maisha yako kijana!Talia namba yake
hauko makini na maisha yako kijana!Talia namba yake
Haka ka mada hakaitaji hasira…… ..Mpigie simu acha kuleta mada za kipuuzi.
Acha kulalamika mwanaume kwa kuambiwa ukweli! Unajifariji bureMpigie simu acha kuleta mada za kipuuzi.
Akili ndogo siku zote hujadili watu, jana mkutano wa mkuu maalumu wa chama chakavu ulijaa mipasho yakujadili watu, majina yaliyotawala mkutano huo ni Lowasa, Sumaye na Gwajima. Bila mabavu ya dola chama chakavu jalalani tu.
Tuna mambo mengi makubwa ya kitaifa na muhimu ya kujadili na sio kujadili mashati ya watu sidhani kama ni busara.Haka ka mada hakaitaji hasira…… ..
Tupia
it is a great mistake for me to have phone numbers of a corrupt0754888888
it is a great mistake for me to have phone numbers of a corrupt0754888888
Wanafiki waliokomaaa utawajuaje? Ni kama huyu mleta mada. Maisha yake ni kula sembe na matembele/majani ya maboga. Level ya maisha ya Lowasa kwake ni sawa na kuifikiria Mbingu.ulimuona karume jana mkuu kwa nn hakuvaa shati la kijani??......mbona mnamuandama mzee wa watu wakati amehama kwenye chama chenu mnachojifanya kuwa kina democrasia??!!