Mziwandawamama
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 1,303
- 944
Nyie wanaume wa dizaini hii wake zenu wana tabu sana kuishi na ninyi...unaanzaje kuwa mnafiki mtoto wa kiume?tatizo hata kampeni zake hukuwa unafitilia ndo mana unasema havai gwanda...kuna siku alipiga kitu cha gwanda safi kabisa sema picha tu sina ningekuekea..mwenye nayo ampe huyu jamaa akatulizane mbele huko