mkuuwamikoa
Member
- Jun 26, 2016
- 58
- 30
- Thread starter
- #21
Kwahiyo lowassa ni Nyerere wa chadema?kuna njia 3 za kujibu swali,unaweza kujibiwa kwa swali so jibu hilo la kwa nini Mwl nyerere hakuwahi kuvaa gwanda la kijani ??

Kwahiyo lowassa ni Nyerere wa chadema?kuna njia 3 za kujibu swali,unaweza kujibiwa kwa swali so jibu hilo la kwa nini Mwl nyerere hakuwahi kuvaa gwanda la kijani ??

Ooh kwakuwa ndio mwenye chama?Kwanini wenzie wasivae shati nyeupe kama yeye?
Upo sahihi, akafuate nini Ufipa wakati kila analoliagiza linatekelezwa kwa kumfuata Mikocheni.Lowasa hajawahi kuonekana ofisi za ufipa tangu ajiunge Chadema.
Lowasa hajawahi kuvaa magwanda tangu ajiunge Chadema.
Hii inaashiria nini??
Ipo siku atajisalimisha na kurudi ccm hapo ndio bavicha watagundua adui yao siyo ccm ,mbali ni Mbowe
We we mkuuwa mikoa acha upumbavu wako mbona hayati baba wa taifa hakuwahi kuvaa magwanda ya kijani?
Comment dhaifu mno..!Kwa hiyo Lowasa ni Baba wa Chadema.?
Haa haaa! Boss havai sawa na staff.. Mkuu umeua.Jiangalie sana wewe,
Unataka boss avae sare moja na staff??
Lowasa alinunua chadema kwa billion 10, hana haja ya kuvaa magwanda
Huyo ndio mwenye chama si alinunua chama kwa mbowe, mmejisahaulishaView attachment 370370
Kwanini wenzie wote wamevaa gwanda yeye kakomalia shati nyeupe?
Kwanini anajitofautisha na wenzie wote?
Ama ana maana ambayo ni ujumbe kwa wanaoelewa kwanini anafanya vile.
Naomba mnijuze wakuu.
Mungu ibariki Tanzania.
Hatujadili chama mkuu, rudi kwenye madaNitumie picha ya mwl jkn akiwa ndani ya uzi wa chama chenu
View attachment 370370
Kwanini wenzie wote wamevaa gwanda yeye kakomalia shati nyeupe?
Kwanini anajitofautisha na wenzie wote?
Ama ana maana ambayo ni ujumbe kwa wanaoelewa kwanini anafanya vile.
Naomba mnijuze wakuu.
Mungu ibariki Tanzania.




Nawamudu, tunaenda nao taratibu hawahitaji nguvu Hawa.Mkuu nao BAVICHA wamekuandama lakini jibu sahihi ni kuwa Lowassa ni mmiliki wa chama kwahiyo hawazi jifananisha na wafanyakazi wake akina mbowe
View attachment 370370
Kwanini wenzie wote wamevaa gwanda yeye kakomalia shati nyeupe?
Kwanini anajitofautisha na wenzie wote?
Ama ana maana ambayo ni ujumbe kwa wanaoelewa kwanini anafanya vile.
Naomba mnijuze wakuu.
Mungu ibariki Tanzania.
Hata katika Bendi za Muziki MWENYE BENDI na MMILIKI huwa havai NGUO sare na Wanamuziki wake, Fanya UTAFITI wako katika hili utaamini nikisemacho na hiyo yote hufanyika MAKUSUDI ili kuweka UTOFAUTI mbele ya Watazamaji. Hivyo basi kaa ukijua kuwa Lowassa ndiyo mwenye Chama cha CHADEMA na hao akina Mbowe, Mnyika, Lissu, Profesa Safari, Mwalimu wote ni Back up Singers wa CHADEMA Band.

Mpigie simu acha kuleta mada za kipuuzi.Nimeuliza swali mkuu, sijatuhumu wala kushutumu.
Nimeuliza swali mkuu, sijatuhumu wala kushutumu.
