Hii jeuri Lowassa anaitoa wapi?

Hii jeuri Lowassa anaitoa wapi?

Lowasa hajawahi kuonekana ofisi za ufipa tangu ajiunge Chadema.

Lowasa hajawahi kuvaa magwanda tangu ajiunge Chadema.

Hii inaashiria nini??

Ipo siku atajisalimisha na kurudi ccm hapo ndio bavicha watagundua adui yao siyo ccm ,mbali ni Mbowe
 
Lowasa hajawahi kuonekana ofisi za ufipa tangu ajiunge Chadema.

Lowasa hajawahi kuvaa magwanda tangu ajiunge Chadema.

Hii inaashiria nini??

Ipo siku atajisalimisha na kurudi ccm hapo ndio bavicha watagundua adui yao siyo ccm ,mbali ni Mbowe
Upo sahihi, akafuate nini Ufipa wakati kila analoliagiza linatekelezwa kwa kumfuata Mikocheni.

Walipoapishwa madiwani wa CDM walikwenda kula kiapo cha utii Mikocheni badala ya Ufipa.
 
Nitumie picha ya mwl jkn akiwa ndani ya uzi wa chama chenu
 
Mkuu nao BAVICHA wamekuandama lakini jibu sahihi ni kuwa Lowassa ni mmiliki wa chama kwahiyo hawazi jifananisha na wafanyakazi wake akina mbowe
 
Mkuu nao BAVICHA wamekuandama lakini jibu sahihi ni kuwa Lowassa ni mmiliki wa chama kwahiyo hawazi jifananisha na wafanyakazi wake akina mbowe
Nawamudu, tunaenda nao taratibu hawahitaji nguvu Hawa.
 
View attachment 370370
Kwanini wenzie wote wamevaa gwanda yeye kakomalia shati nyeupe?

Kwanini anajitofautisha na wenzie wote?

Ama ana maana ambayo ni ujumbe kwa wanaoelewa kwanini anafanya vile.
Naomba mnijuze wakuu.
Mungu ibariki Tanzania.

Hata katika Bendi za Muziki MWENYE BENDI na MMILIKI huwa havai NGUO sare na Wanamuziki wake, Fanya UTAFITI wako katika hili utaamini nikisemacho na hiyo yote hufanyika MAKUSUDI ili kuweka UTOFAUTI mbele ya Watazamaji. Hivyo basi kaa ukijua kuwa Lowassa ndiyo mwenye Chama cha CHADEMA na hao akina Mbowe, Mnyika, Lissu, Profesa Safari, Mwalimu wote ni Back up Singers wa CHADEMA Band.
 
Hata katika Bendi za Muziki MWENYE BENDI na MMILIKI huwa havai NGUO sare na Wanamuziki wake, Fanya UTAFITI wako katika hili utaamini nikisemacho na hiyo yote hufanyika MAKUSUDI ili kuweka UTOFAUTI mbele ya Watazamaji. Hivyo basi kaa ukijua kuwa Lowassa ndiyo mwenye Chama cha CHADEMA na hao akina Mbowe, Mnyika, Lissu, Profesa Safari, Mwalimu wote ni Back up Singers wa CHADEMA Band.
 
Nimeuliza swali mkuu, sijatuhumu wala kushutumu.

Hata diamond havai nguo sare na wakina moze iyobo
ImageUploadedByJamiiForums1469373980.583534.jpg
 
Nionyeshe Nyerere picha akiwa kavaa shati la kijani wakati ni muasisi! Gwanda sio uniform kwamba bila kuvaa hutambuliki, bali tunayavaa pale tunapojisikia
 
Back
Top Bottom