Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,035
Angalia usije ukaacha tanda wazi, wahuni watapita naloUtandawazi
Angalia usije ukaacha tanda wazi, wahuni watapita naloUtandawazi
una maanisha nini?Angalia usije ukaacha tanda wazi, wahuni watapita nalo
Wewe ni mshamba kama ulivyosema, bado unaishi enzi za ujima na haupo tayari kuishi kwenye zama ambazo technology imeendelea...mm binafsi katika interviews nilizofanya hamna ambayo ilikuw chini ya 30 mns na my last interview ya sehemu niliyopo saiv ilifanyika kwa saa 1...nakushangaa wewe dakika 15 unaona nyingiWakuu
Sijui mimi ndiye mshamba wa haya mambo ya interview au vipi!
Kuna kampuni walinipigia niende kwenye interview, siku hiyo nimefika receptionist akanipokea vizuri then akanipeleka boardroom, nikajua kule ntakutana na panelists ,cha ajabu nikakuta tu screen kubwa mezani.. then yule panelists akasema kwa kunitaja jina kuwa Joseph is here for interview. Then nikaona watu wako kwenye screen wananikaribisha kwenye interview, wakajitambulisha kuwa mmoja alikua mmama wa makamo hivi akasema ni HR manager wa hiyo kampuni na kwa muda huo alikua headquarters ya hiyo kampuni kwa ukanda wa Africa zilizopo Nairobi Kenya,na mwingine alikua ni mkaka mzungu,akajitambulisha kuwa ni General manager wa hiyo kampuni kwa tawi la Africa ila kwa wakati huo alikua anaongea kutoka London zilipo ofisi zao kuu kwa duniani.
Kilichonishangaza ni aina ya hiyo interview how comes interview ifanyike kwa njia ya zoom wakati pale ofisini kwao kuna watu wangeweza kutufanyia interview?
Changamoto niliyoipata ni kwamba maswali yao nilikua siyasikii vizuri sababu spika zilikua haziko poa hivyo kunilazimu kuwa kila muda naomba muuliza swali aulize swali upya ili nipate idea ya anachokiuliza.
pia interview yao kwa kukadiria imeenda dakika nyingi almost 15-20 minutes kitu ambacho kwa mimi niliyezoea interview za utumishi zinazolast 5-7 minutes nimeona ni mashikolo mageni.pia wanauliza maswali mengi sana,waliniuliza karibu maswali 15 hivi kwa kukadiria.
So naomba tuelimishane,interview hizi za njia ya zoom ziko sahihi kweli au ni kuchoshana tu?
Ni huyu akiajiriwa serikalini ubunifu zero hajui hata Microsoft teams hata problem solving ni zero kazini. Mitaala ifundishe wanafunzi ubunifu pia kuendana na nyakati za sikuhizikilaza huyu na hapo ana degree gpa 4.5, yaani vyuo vyetu haviwapi kabisa hawa vijana exposure
Ulikuwa mtu mshamba maana hujawahi kufanya interview za hizo so kuwa mgeni wa jambo ndio ushamba wenyewe, hata mimi na ushamba wangu kwa mambo mengine pia nisiyo yajuaUsiniite mshamba.kwani wewe unajua kila kitu hapa duniani?
Duh..nilikua sijui hili jambo mkuu, binafsi nimezoea kupiga za utumishi tu
To cut the story short bro... Huo mchongo umeupata au wamekupiga chini?Wakuu,
Sijui mimi ndiye mshamba wa haya mambo ya interview au vipi!
Kuna kampuni walinipigia niende kwenye interview, siku hiyo nimefika receptionist akanipokea vizuri then akanipeleka boardroom, nikajua kule ntakutana na panelists, cha ajabu nikakuta tu screen kubwa mezani. Then yule panelists akasema kwa kunitaja jina kuwa Joseph is here for interview.
Then nikaona watu wako kwenye screen wananikaribisha kwenye interview, wakajitambulisha kuwa mmoja alikua mmama wa makamo hivi akasema ni HR Manager wa hiyo kampuni na kwa muda huo alikua headquarters ya hiyo kampuni kwa ukanda wa Africa zilizopo Nairobi Kenya, na mwingine alikua ni mkaka mzungu,akajitambulisha kuwa ni General manager wa hiyo kampuni kwa tawi la Africa ila kwa wakati huo alikua anaongea kutoka London zilipo ofisi zao kuu kwa duniani.
Kilichonishangaza ni aina ya hiyo interview how comes interview ifanyike kwa njia ya zoom wakati pale ofisini kwao kuna watu wangeweza kutufanyia interview?
Changamoto niliyoipata ni kwamba maswali yao nilikua siyasikii vizuri sababu spika zilikua haziko poa hivyo kunilazimu kuwa kila muda naomba muuliza swali aulize swali upya ili nipate idea ya anachokiuliza.
Pia interview yao kwa kukadiria imeenda dakika nyingi almost 15-20 minutes kitu ambacho kwa mimi niliyezoea interview za utumishi zinazolast 5-7 minutes nimeona ni mashikolo mageni.pia wanauliza maswali mengi sana, waliniuliza karibu maswali 15 hivi kwa kukadiria.
So naomba tuelimishane, interview hizi za njia ya zoom ziko sahihi kweli au ni kuchoshana tu?
Wakuu,
Sijui mimi ndiye mshamba wa haya mambo ya interview au vipi!
Kuna kampuni walinipigia niende kwenye interview, siku hiyo nimefika receptionist akanipokea vizuri then akanipeleka boardroom, nikajua kule ntakutana na panelists, cha ajabu nikakuta tu screen kubwa mezani. Then yule panelists akasema kwa kunitaja jina kuwa Joseph is here for interview.
Then nikaona watu wako kwenye screen wananikaribisha kwenye interview, wakajitambulisha kuwa mmoja alikua mmama wa makamo hivi akasema ni HR Manager wa hiyo kampuni na kwa muda huo alikua headquarters ya hiyo kampuni kwa ukanda wa Africa zilizopo Nairobi Kenya, na mwingine alikua ni mkaka mzungu,akajitambulisha kuwa ni General manager wa hiyo kampuni kwa tawi la Africa ila kwa wakati huo alikua anaongea kutoka London zilipo ofisi zao kuu kwa duniani.
Kilichonishangaza ni aina ya hiyo interview how comes interview ifanyike kwa njia ya zoom wakati pale ofisini kwao kuna watu wangeweza kutufanyia interview?
Changamoto niliyoipata ni kwamba maswali yao nilikua siyasikii vizuri sababu spika zilikua haziko poa hivyo kunilazimu kuwa kila muda naomba muuliza swali aulize swali upya ili nipate idea ya anachokiuliza.
Pia interview yao kwa kukadiria imeenda dakika nyingi almost 15-20 minutes kitu ambacho kwa mimi niliyezoea interview za utumishi zinazolast 5-7 minutes nimeona ni mashikolo mageni.pia wanauliza maswali mengi sana, waliniuliza karibu maswali 15 hivi kwa kukadiria.
So naomba tuelimishane, interview hizi za njia ya zoom ziko sahihi kweli au ni kuchoshana tu?
Nasubiria majibu mkuu..wamesema watatujulisha mwishoni mwa week.Ulipata Kaz?
Sijajua bado kama nimepigwa chini or not, coz ni siku mbili zimepita since nifanye hiyo interviewTo cut the story short bro... Huo mchongo umeupata au wamekupiga chini?
Mjuaji wa kila kitu wewe humu jf.Ulikuwa mtu mshamba maana hujawahi kufanya interview za hizo so kuwa mgeni wa jambo ndio ushamba wenyewe, hata mimi na ushamba wangu kwa mambo mengine pia nisiyo yajua