Hii inatafsiri gani kwa mke

Hii inatafsiri gani kwa mke

Siyo kila kitu lkn ktk Mke ni Mungu anahusika 100% maana ananena ktk METHALI kuwa "Mali na utajiri Mtu huweza kujipatia kwa Baba yake lkn Mke mwema hutoka kwa BWANA/MUNGU"
Sio kila kitu Mungu anapanga Mkuu. Ukilijua hilo utaishi kwa tahadhari
 
Nishakutana na sampuli hizo kama mbili hivi, kiukweli ni kuomba Mungu tu upate mwenza mnaendana na mwenye akili.
Ningekuwa mimi kwenye scenario yako, ningepambana na nigechagua vitu vya kumshirikisha.
 
Mkuu utakuwa ulikuwa na shobo sana na hela za mkeo, au anakuona huna uwezo wa kuendeleza na kusimamia mali(yaani una utoto mwingi), kama sio hvyo basi itakuwa unamnyima uhuru wa kufanya shughuli ilihali huna pesa za kutosha kumpatia.

kama hayo ya juu ni HAPANA, basi mkeo safari yake ya kuondoka ndio imeanza so anaweka mikakati na misingi imara ili baadae akijazia na zile mtakazogawana basi anakuwa na kitita cha kutosha.

Thank me later
 
Siyo kila kitu lkn ktk Mke ni Mungu anahusika 100% maana ananena ktk METHALI kuwa "Mali na utajiri Mtu huweza kujipatia kwa Baba yake lkn Mke mwema hutoka kwa BWANA/MUNGU"

Na huyo huyo Mungu ndio aliweka Bikra.
Na anataka tuoe wanawake bikra.

Moja ya sifa ya mke anayetoka kwa Mungu ni Bikra. Sijui kama unajua hili Mkuu.
 
Hakuna alipoandika Mungu kuwa kuoa Bikra ni amri ni big NO.

Pia si kila Bikra ilitolewa kwa ngono kama unavyodhani wewe.
Na huyo huyo Mungu ndio aliweka Bikra.
Na anataka tuoe wanawake bikra.

Moja ya sifa ya mke anayetoka kwa Mungu ni Bikra. Sijui kama unajua hili Mkuu.
 
Hakuna alipoandika Mungu kuwa kuoa Bikra ni amri ni big NO.

Pia si kila Bikra ilitolewa kwa ngono kama unavyodhani wewe.


Mkuu usiongee usilo lijua. Zipo amri na sheria kwenye torati zinazohusu Bikra. Kama hujui usiseme kitu kwa kujiamini unaweza kudhalilika mkuu
 
Endelea kukariri Biblia jinsi unavyokaririshwa kuielewa Biblia badala ya kumwomba Roho Mtakatifu akuongoze na kukutafakarisha neno la Mungu.
Mkuu usiongee usilo lijua. Zipo amri na sheria kwenye torati zinazohusu Bikra. Kama hujui usiseme kitu kwa kujiamini unaweza kudhalilika mkuu
 
Back
Top Bottom