Kwa kawaida mume na mke hujulikana kama mwili mmoja ikimanisha wameshakuwa kama kitu kimoja
Kwamana hiyo kushrikiana kwa kila jambo na pia kuwa wawazi kwa kila mmoja kwa mwenzake
Ila hili jambo kwa wanawake naona ni gumu japo kwa wanaume tunaweza
Yan kiukweli wanawake wanatunza siri sana utaskia tu kwa watu ila yye kukuambia sahau
Mara utaskia anajenga kwao, mara kamfungulia ndugu yke biashara mara kanunua bodaboda kampa jamaa wanafnya biashara ukimuliza ataruka futi 100 ila kiuhalisia ni kweli
Yupo radh adhulumie kimykimya ila sio kukueleza mume angalau ufuatilie
Nni husababisha iv au anakuwa hana tena mapenzi na mume au ndo hulka yao
Kwamana hiyo kushrikiana kwa kila jambo na pia kuwa wawazi kwa kila mmoja kwa mwenzake
Ila hili jambo kwa wanawake naona ni gumu japo kwa wanaume tunaweza
Yan kiukweli wanawake wanatunza siri sana utaskia tu kwa watu ila yye kukuambia sahau
Mara utaskia anajenga kwao, mara kamfungulia ndugu yke biashara mara kanunua bodaboda kampa jamaa wanafnya biashara ukimuliza ataruka futi 100 ila kiuhalisia ni kweli
Yupo radh adhulumie kimykimya ila sio kukueleza mume angalau ufuatilie
Nni husababisha iv au anakuwa hana tena mapenzi na mume au ndo hulka yao