Yani nilikuwa namaanisha akianza kuchepuka ni hatar sana coz anakutana na mitalimbo tofaut na zenye ladha tofauti so atataka kuonja radha ya mitalimbo mingine apo sasa ndio ataanza kukudharau na kukuona huna maana
Oa mwanamke bikra hutakuja juta Mkuu.
Mwanamke anayefall in love for the First time. She act like idiot. Anaweza hata kutukana ndugu zake kwa sababu yako but hao wengine kwa kweli ni tabu
Yani nilikuwa namaanisha akianza kuchepuka ni hatar sana coz anakutana na mitalimbo tofaut na zenye ladha tofauti so atataka kuonja radha ya mitalimbo mingine apo sasa ndio ataanza kukudharau na kukuona huna maana
Hata hii sampuli ni keno pia. Usiombe akaonja cha nje....utatamani uchimbe chini, ujifukie!!!
Normally hawa viumbe ni wa ajabu sana!! "Nusu binadamu, nusu satan..."
Oa mwanamke bikra hutakuja juta Mkuu.
Mwanamke anayefall in love for the First time. She act like idiot. Anaweza hata kutukana ndugu zake kwa sababu yako but hao wengine kwa kweli ni tabu
Ukiona hivyo unamatatizo mkuu.
Wewe umehadithiwa mimi naongea kwa uzoefu.
Bikra ukimpenda na kumjali hawezi kutoka. Na unageuka kuwa Reference nzuri kwake. Lakini Hawa wengine hata umfanyie nini hawez rizika.
Mind you that upendo wa kwanza ndio halisi huo wa pili ni bandia.
Sababu wanaume hawaaminiki....Kaka hapo hakuna mapenzi. Mwanamke anayekuficha mambo yake hakuamini.
Bikra ndiyo malezi bora aliyofunzwa na wazazi wake?
Mwanamke mzuri ni yule asiye na majeraha, ni kama mnyama yeyote akijeruhiwa!
Tuko wasiri, visasi na watunza maumivu sometimes ni heri wale wapayukaji kama mange maana sumu nyingi anazitoa na km ni mtu wako unajua kuwa nini kimemuudhi,,,
Ikiwa Mungu hajakupangia huyo Bikra kuwa Mke wako sahihi ktk maisha ni sawa na kutwanga tu maji kwenye kinu.Mwanaume kamili anajua kutofautisha kitu bora na dhaifu. Kitu bora anakipa heshima na kukilinda. Lakini kitu dhaifu anakistahi na kukifariji.
Mwanamke mwenye bikra ni mwanamke bora. Wanaume kama sisi tunawaheshimu na Kuwalinda. Tunahakikisha tunawapa furaha.
Hata hivyo tukikutana au ikitokea tukaoa wanawake wasio na bikra na ambao wamezalishwa tunawastahi na kuwafariji lakini hatuwapi heshima wayostahili wanawake bora.
Mwanamke bikra achana naye mkuu. Naongea kwa uzoefu. Akikupenda amekupenda na hana historia nyuma ya mapenzi zaidi yako.
Ni kama mtoto mdogo unaweza mwambia hii ni nyeusi kumbe ni nyeupe akakubali. Atakupenda daima dawamu na atakuamini kama mzazi wake.
Hao wanawake wengine nawakubali ingawa si kama mwanamke bikra. Msimamo wangu upo hivyo na ndio unafanya nione mapenzi yanaraha yake ukiwa na mwanamke uliyembikiri.
Mwanamke Bikra hana reference au vitabu vya kuvirejelea. Wewe ndio mwandishi wa kwanza kwenye moyo wake. Wewe ndio utakuwa kitabu cha rejea siku mkiachana.
Tofauti na kuoa mwanamke asiye na bikra kila unachokifanya anarejelea Ex wake.
Mbaya zaidi Ex wake ajue mahaba kama mimi JokaJeusi. Mzee wa kupeti peti, Mzee wa kubembeleza. Mzee wa kumchezesha mtoto samkololo. Mzee wa kumsifia hata kana akijamba unamwambia napenda unavyojamba Darling. Yaan mpaka Ubo.lo umedinda. I like it. then unamchapa kibao mshenzi cha matako.
Mwanamke bikra ni sawa na plain paper mpya ambayo haijaandikiwa. Wewe ndio mwandishi. Unaandika wewe kwa kadiri utakavyoona. Kama mtaachana. Yule anayekuja ataandika juu ya maandishi yako na maandishi hayataeleweka kwani yatachanganyana na yako. Hivyo hatakupenda kama alivyompenda wa awali.
Sijui kwa nini wanaume hawaelewi hili.. Kazi kudanganywa na wanawake. Eti mwanamke akikuacha amekuacha. Hahaha.
Kwa hiyo unakubaliana na kauli yake ya kuwa hakuna mwanamke mwemaHana sababu ya kufuta. Ulivyolelewa na mama yako si kila mtu kalelewa hivyo, kuna waliotupwa jalalani wakaokotwa na kutunzwa kwenye vituo vya kulelea yatima.
Ikiwa katika maisha yake hajawahi kukutana na mwanamke mwema utalazimisha akubali hisia zako kuwa wapo?Kwa hiyo unakubaliana na kauli yake ya kuwa hakuna mwanamke mwema
Swali hili co lake mkuu lakwako ucendelee kumjibia jibu na wewe unakubaliana nae kuwa hakuna mwanamke mwema jibu rahisi tu hapoIkiwa katika maisha yake hajawahi kukutana na mwanamke mwema utalazimisha akubali hisia zako kuwa wapo?
Ikiwa sijawahi kukutana na mwanajeshi albino, hakunifanyi kuwa mtu wa hovyo.
HakunaSwali hili co lake mkuu lakwako ucendelee kumjibia jibu na wewe unakubaliana nae kuwa hakuna mwanamke mwema jibu rahisi tu hapo
Ikiwa Mungu hajakupangia huyo Bikra kuwa Mke wako sahihi ktk maisha ni sawa na kutwanga tu maji kwenye kinu.