kwani wewe huoni?au tukuletee tochi..Tatizo nini hapo?
Bibie huoni Mke wa Tony alivyovaa?hebu siku jaribu kualikwa sehemu hiyo na uvae hivyo uone hata kama utanusa geti la hilo kasri!
kwani wewe huoni?au tukuletee tochi..
Tatizo ni CCM tu, Watanzania tukiweza kuliondoa tatizo hili tutapiga hatua kwa haraka mnoTatizo nini hapo?
Tatizo ni CCM tu, Watanzania tukiweza kuliondoa tatizo hili tutapiga hatua kwa haraka mno
Mi niko NAREA, na ndio tunataka kuiondoa CCMJaribuni bahati yenu kwani Watanzania tulio wengi hatuitaki chadema, kiishie hukohuko Kilimanjaro.
Jaribuni bahati yenu kwani Watanzania tulio wengi hatuitaki chadema, kiishie hukohuko Kilimanjaro.
Tatizo nini hapo?