Hii inapendeza sana kwa wapenzi

If he was somebody mbona alikuwa anaomba vibarua vya kazi alipokuwa chuo. Ukweli unauma. Ukisoma story jamaa walianza relationship wakiwa chuo. Na kabla ya kuanza kibarua jamaa kipatochake kilikuwa mkopo wa chuo kikuu
 
T


True, amuwezi kufikia level za kina Obama Kama ni mmoja tuh anayepigania ilo penzi, lazima achoke ata awe na upendo wa aina gani,
Simama kama mwanaume wa kweli ili upate nawe kulia kama Obama,...
Shida ni pale utakapo simama kama uboma huku mwenzako akilizake zinawaza kupita tu na kukuchuna.
 
If he was somebody mbona alikuwa anaomba vibarua vya kazi alipokuwa chuo. Ukweli unauma. Ukisoma story jamaa walianza relationship wakiwa chuo. Na kabla ya kuanza kibarua jamaa kipatochake kilikuwa mkopo wa chuo kikuu
Hahaha...kuomba vibarua vya kazi akiwa chuoni maana yake ni nobody?
 
Watu wengi wanafanya hivo baada ya kuumizwa. Mtu ambaye hajawahi kuumizwa hawezi fanya hivo siku ata moja. Moyo wa mwanaume kunamuda unakufa ganzi. Anakuwa anawaza apate mtu wa kumtuliza tu angalau ata kwa muda huku akipanga mipango mingine
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Watu wengi wanafanya hivo baada ya kuumizwa. Mtu ambaye hajawahi kuumizwa hawezi fanya hivo siku ata moja. Moyo wa mwanaume kunamuda unakufa ganzi. Anakuwa anawaza apate mtu wa kumtuliza tu angalau ata kwa muda huku akipanga mipango mingine
And unafikiri wanawake hawaumizwibali ni nyie wnaume tu!! Wht a lame excuse!!
 
Yani mtu ni mlevi na kurudi asubuhi juu, ana michepuko kibao, hajali hisia za manzi wake, halafu anamtaka mwanamke kama Michelle...... msomi, humble, loving, patient, faithful, trustworthy, supportive, mpishi mzuri, mama bora kwa watoto .......hahahaha
 
Si ndio hapo sasa, wajue tu wanapata wa kufanana nao, yaani hao pasua kichwa wanaowapata ndio size yao kulingana na wao walivyo. Hivyo wasikae kulaumu tu.

Ukiwa Obama utampata tu Michelle wako.
 
Kunasiku wallet itatoboka. Na hapo ndipo utakaposimangwa na kuitwa mwanaume suruali. Maisha ya sasa dada zetu wengi wamekuwa mwiba. Hali inayopelekea na vijana wengi kuogopa kuoa na kuwa committed kwenye relationship
Hahaaaa!! Mnaogopa kuoa sio kwasababu ya wanawake, just because yo not man eneogh to handle the marriage. Jiulize kwanini unafikiri wamekuwa mwiba? Mwiba hautembei hadi wewe uufuate uukanyage kwahiyo haupaswi kuulaumu bali ujilaumu kwanini ulikuwa peku hadi ukanyage mwiba.

Hebu ifikie hatua muadmit makosa yenu na msijione malaika na wanawake ndio tatizo. Nyie si ndio vichwa? Hebu tumieni hivyo vichwa basi.
 
Si ndio hapo sasa, wajue tu wanapata wa kufanana nao, yaani hao pasua kichwa wanaowapata ndio size yao kulingana na wao walivyo. Hivyo wasikae kulaumu tu.

Ukiwa Obama utampata tu Michelle wako.
Kweli tupu....

Kila mtu atapata kile anachostahili.

No more, no less...
 
Una sifa ya kuwa na mwanamke kama Michelle? (if Michelle is all that advertised...)
Siwezi kujibu hilo swali na hata nikijibu pengine ntaonekana najisifia sababu hapa am not advertising my self am saying my views concerning the issue on the table... lakini ungelikua katika relationship na mimi pengine ndo ungepata majibu ya swali lako.
 
Basi kama unastahili just pray n work hard utampata tu Michelle wako.
 
Ha ha vice versa is true[emoji4] [emoji4]
 
Si ndio hapo sasa, wajue tu wanapata wa kufanana nao, yaani hao pasua kichwa wanaowapata ndio size yao kulingana na wao walivyo. Hivyo wasikae kulaumu tu.

Ukiwa Obama utampata tu Michelle wako.
Ah wap. Kunawatu "wanaume" wanajielewa na likini wanaishia kwa majike dume
 
Haina kwere ndugu. Kuwa Obama na utampata Michelle wako tu

Simple as that....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…