Hasty and false generalization, look carefully wanawake wapo.,Hahaha
Wanawake wasomi wa kibongo ni majanga.
Wewe mwana mke wa Bongo mwenye ka BA tu ka UDSM msumbufu.
Nani angeweza kuwa kama Michelle pamoja na MA ya Havard akaenda ikulu kazi yake kupamba, kucheza na watoto cjui, kusimamia mapishi ya Barrack, yaan aliweka Pride pembeni akachukua role ya mama kabsa. Madem wa kibongo hawawez kuwa humble hivo tena kama wamesoma.
YesBarack had potential, Michelle had too, hakupenda kirejareja jmn..they were two elites,ukweli uwekwe waziiii,started from the bottom ndio but they were well off than most blacks
Struggle inayotakiwa iwepo ni na changamoto zenu not with each other.Yes lakin pia at least onesha kupigana hata kama mtu akisepa unajisemea moyoni nilipigana kadir ta uwezo wangu
Sana mkuu.Na angemuacha basi ujue huyo hakuwa wako, wako atabaki nawe katika hali zote. Kwahiyo akiondoka muache aende,anayekudharau kwakuwa hauna kitu basi usihuzunike,muache aende wako atakuja na atakuthamini hivyo hivyo.
Ila hizo dharau zichukue kama changamoto ya kupiga kazi hadi kieleweke.
Hivi wasomi walikufanya nini ice man!! Mbona wapo walio humble kwelikweli.Hahaha
Wanawake wasomi wa kibongo ni majanga.
Wewe mwana mke wa Bongo mwenye ka BA tu ka UDSM msumbufu.
Nani angeweza kuwa kama Michelle pamoja na MA ya Havard akaenda ikulu kazi yake kupamba, kucheza na watoto cjui, kusimamia mapishi ya Barrack, yaan aliweka Pride pembeni akachukua role ya mama kabsa. Madem wa kibongo hawawez kuwa humble hivo tena kama wamesoma.
yetu ni yale yale ya diamond na wemaTehe! Tutapataje kupona?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ukisikiliza hotuba za Michelle in full utapenda, anajua kupangilia, kuchagua maneno,kuhamasisha, kwakweli mama yuko vzr sana, sio sawa na hotuba za Phd huwezi kujua ni wakati gani anaongelea mafanikio, changamoto au mipango ya baadaye, badala ya kusikiliza hotuba ya kiongozi unakua tena na kazi ya kuchuja sasa anaongelea mafanikio, changamaoto au plan za baadaye.
Iceman 3D sio bure aliwahi kutendwa na msomi wa udsm basi kawachukia woote[emoji85] [emoji85] [emoji85]Hasty and false generalization, look carefully wanawake wapo.,
Nani angeweza kuwa kama Michelle??ukiwa first lady wa nchi yoyote huwi na kazi nyingine zaidi ya kuwa na supporting role kwa mumeo kupitia shughuli za kijamii,so ts not like Michelle amefanya kitu tofauti na other first ladies
Hayo mengine si siasa mkuu, hapa tunaangalia mapenzi mahusiano na urafiki, ndio maana imeongelewa mahusiano yake na mkewe.Obama ni mnafiki sana yeye anampenda mke wake ambaye ni mwanamke ila anaeneza ndoa za ushoga .
Huu ni unafiki mkubwa sana na kuishi maisha ya hali mbili kwa wakati mmoja.
Sipingi yeye kumpenda mke wake ni jambo jema sana kwetu kuiga,,,, ila Sera zake za upande wa pili wa sarafu.
mambo ya ushoga ni magumu tumuachie mungu tu tho me mwenyewe nayapingaObama ni mnafiki sana yeye anampenda mke wake ambaye ni mwanamke ila anaeneza ndoa za ushoga .
Huu ni unafiki mkubwa sana na kuishi maisha ya hali mbili kwa wakati mmoja.
Sipingi yeye kumpenda mke wake ni jambo jema sana kwetu kuiga,,,, ila Sera zake za upande wa pili wa sarafu.
Very strong point mkuuHahaha
Wanawake wasomi wa kibongo ni majanga.
Wewe mwana mke wa Bongo mwenye ka BA tu ka UDSM msumbufu.
Nani angeweza kuwa kama Michelle pamoja na MA ya Havard akaenda ikulu kazi yake kupamba, kucheza na watoto cjui, kusimamia mapishi ya Barrack, yaan aliweka Pride pembeni akachukua role ya mama kabsa. Madem wa kibongo hawawez kuwa humble hivo tena kama wamesoma.
Upande wa pili si wa kuiga.Obama ni mnafiki sana yeye anampenda mke wake ambaye ni mwanamke ila anaeneza ndoa za ushoga .
Huu ni unafiki mkubwa sana na kuishi maisha ya hali mbili kwa wakati mmoja.
Sipingi yeye kumpenda mke wake ni jambo jema sana kwetu kuiga,,,, ila Sera zake za upande wa pili wa sarafu.
Angeonyesha utulivu wake kwa ndoa, miaka mingap sasa na watoto wamezaa bado mahawaraHahahaha! Hatimaye D'mond katulia kwa Zari.
HahahaHasty and false generalization, look carefully wanawake wapo.,
Nani angeweza kuwa kama Michelle??ukiwa first lady wa nchi yoyote huwi na kazi nyingine zaidi ya kuwa na supporting role kwa mumeo kupitia shughuli za kijamii,so ts not like Michelle amefanya kitu tofauti na other first ladies
HahahaHivi wasomi walikufanya nini ice man!! Mbona wapo walio humble kwelikweli.
It doesnt matter...what matters the love binds them together...Barack had potential, Michelle had too, hakupenda kirejareja jmn..they were two elites,ukweli uwekwe waziiii,started from the bottom ndio but they were well off than most blacks