King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,984
tatizo hao wageni mnawakirimu sana.....
Asubuhi wanywe uji, mchana upite wima na usiku wapige dona na mchicha mwezi mzima...... No outings, wafanye kazi sanaaaaaaaaa.......Akiondoka unamkatia tiketi, unampa nauli alokopa na sha 3000 ya kula njiani uone kama atarudi....
hahaha, usisahau luku unaweka ya buku 2 kila siku jioni. Otherwise watatoboa hiyo tv aisee.