Bagia mkuu....duuu those dayz bana, we acha tu, ukiwa nayo hiyo skonga mihogo inakukoma, enzi za kuweka uketo (bisi) kwenye chupa na kuyaloweka....nakumbuka zamani sana...enzi za chachacha na kodrai...suruali zilikuwa zimeandikwa tokyo....duuuu na masharti yana picha ya dola kwenye mifuko...kitu special hicho...sikukuu haipiti bila DH na Romario then maradona....DO YOU REMEMBER?
Bagia mkuu....duuu those dayz bana, we acha tu, ukiwa nayo hiyo skonga mihogo inakukoma, enzi za kuweka uketo (bisi) kwenye chupa na kuyaloweka....nakumbuka zamani sana...enzi za chachacha na kodrai...suruali zilikuwa zimeandikwa tokyo....duuuu na masharti yana picha ya dola kwenye mifuko...kitu special hicho...sikukuu haipiti bila DH na Romario then maradona....DO YOU REMEMBER?
Yaani, nilikuwa naizungushia lile ganda la sigara la kama aluminium vile halafu naisugua kichwani, hizo picha zote zinatokea kwenye hilo ganda, halafu narudia na upande wa pili, na mwisho naibandika kwenye kiubao kilichokatwa kama shilingi tano... baada ya hapo ni kuwadanganya watoto wenzangu kuwa nina shilingi tano..
Yaani, nilikuwa naizungushia lile ganda la sigara la kama aluminium vile halafu naisugua kichwani, hizo picha zote zinatokea kwenye hilo ganda, halafu narudia na upande wa pili, na mwisho naibandika kwenye kiubao kilichokatwa kama shilingi tano... baada ya hapo ni kuwadanganya watoto wenzangu kuwa nina shilingi tano..
Wengi niwa 1970 to 1975... Mi wakati wa vita vya Kagera ndo nilikuwa mchimba mahandaki ya familia yetu pale home.......naona wengi wanaochangia hapa ni wale waliozaliwa miaka ya vita ya kagera! maana nakumbuka kwa enzi zetu, hii hela nilikuwa napata sukari kilo moja!