Ebana daah hii Kila inapopigwa nakumbuka tu Ile style ya suti bwanga, mkoti mkubwa🤣na wanchoma kumoyo, umenyoa afro fulani hivi.
Zile chupa bia zilikuwa kubwa kubwa kishenzi
"ilikua ikifika siku za siku kuuu"
Kuna ule mstari.
Anakwambia "Ata mvua ikinyesha Leo seya lazima tutoke leo"
Miaka inakimbia
RIP mkapa,
mtakumbuka na ule wimbo wa mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe" RIP banza stone
Kwa upande wako hii ngoma ya babu seya inakukumbusha wapi??
Zile chupa bia zilikuwa kubwa kubwa kishenzi
"ilikua ikifika siku za siku kuuu"
Kuna ule mstari.
Anakwambia "Ata mvua ikinyesha Leo seya lazima tutoke leo"
Miaka inakimbia
RIP mkapa,
mtakumbuka na ule wimbo wa mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe" RIP banza stone
Kwa upande wako hii ngoma ya babu seya inakukumbusha wapi??