Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Enzi za vibama Mbeya. Tshs 5 nilikuwa napata kimoja teh teh
Ushakia kitu inaitwa Kibama au Vibama.
Ukotoka kwenye vibama, unaenda kwenye vitindi na masasati, na baada ya hapo unaenda kwenye mabumunda.Enzi za vibama Mbeya. Tshs 5 nilikuwa napata kimoja teh teh
Ushakia kitu inaitwa Kibama au Vibama.
Ukotoka kwenye vibama, unaenda kwenye vitindi na masasati, na baada ya hapo unaenda kwenye mabumunda.