Sidhani kama umefikiria vizuri ........ !!, re-think again, nina mda mrefu sana sjatumia internet kwenye simu, haimaanishi sina simu au haina uwezo wa data access, yaweza kua na hata 3G,LTE,,,,, or whatever ...name it.
But kuna scenarios mbali mbali,.... hata huyo alieenda internet cafe, Haimaniishi kuwa alikua hana access kwenye hand set yake moja kwa moja..... you never know!!.
I just didn't find a "Dislike Button".... ningeibonyeza for you today!!.