chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,784
Habari wana Jamii Forums,..
Kuna Jambo limenitokea Hii Ni Mara Ya Pili Kama Siyo Ya Tatu.
Kuna Hizi Public Computers Tunazozitumia Internet Cafe Kuingia Au Ku-Login In Kwenye Social Forums Mbalimbali Kama Vile Jamii Forums, Facebook And The Likes,..
Leo Nyakati Za Jioni Nikiwa Katika Shughuli Zangu Internet Niliamua Kuingia Jamii Forums, Ile Ku-google Tu Jamii Forums Ikaja Page Tiyari Ina User Name Na Password.
Alikuwa Ni Mwana-JF Mwenzangu Aliyesahau Ku-Log Out Alipomaliza Shughuli Zake, Kwa Sababu Sikuwa Na Nia Ya Ku-hack Nili-Log Out Then Nikaendelea Na Mambo Yangu Kwa Kutumia Akaunti Yangu,.
Nafahamu Wengi Wanakumbwa Na Hili Hata Katika Forums Nyingine, Na Hii Hutokea Pale Mtu Anapo-Log In Na Ku-tick Ile Sehemu Ya Remain Log-In,.
Mwana-Jf epuka Kuweka Alama Ya Tick Kwani Hata Kama Utamaliza Kutumia Forum Atakapokuja Mtu Mwingine Anaweza Kutumia Akaunti Yako Bila Wewe Kujua Na Akafanya Chochote Atakacho Hata Kama Ni Kibaya,
Ni Hayo Tu Wana-Jf, Tuzingatie Kwa Ajili Ya Privacy Na Usalama Wa Akaunti Zetu Mitandaoni!!
Kuna Jambo limenitokea Hii Ni Mara Ya Pili Kama Siyo Ya Tatu.
Kuna Hizi Public Computers Tunazozitumia Internet Cafe Kuingia Au Ku-Login In Kwenye Social Forums Mbalimbali Kama Vile Jamii Forums, Facebook And The Likes,..
Leo Nyakati Za Jioni Nikiwa Katika Shughuli Zangu Internet Niliamua Kuingia Jamii Forums, Ile Ku-google Tu Jamii Forums Ikaja Page Tiyari Ina User Name Na Password.
Alikuwa Ni Mwana-JF Mwenzangu Aliyesahau Ku-Log Out Alipomaliza Shughuli Zake, Kwa Sababu Sikuwa Na Nia Ya Ku-hack Nili-Log Out Then Nikaendelea Na Mambo Yangu Kwa Kutumia Akaunti Yangu,.
Nafahamu Wengi Wanakumbwa Na Hili Hata Katika Forums Nyingine, Na Hii Hutokea Pale Mtu Anapo-Log In Na Ku-tick Ile Sehemu Ya Remain Log-In,.
Mwana-Jf epuka Kuweka Alama Ya Tick Kwani Hata Kama Utamaliza Kutumia Forum Atakapokuja Mtu Mwingine Anaweza Kutumia Akaunti Yako Bila Wewe Kujua Na Akafanya Chochote Atakacho Hata Kama Ni Kibaya,
Ni Hayo Tu Wana-Jf, Tuzingatie Kwa Ajili Ya Privacy Na Usalama Wa Akaunti Zetu Mitandaoni!!