Hii inahusu watu wa MALAVIDAVI tu..!!

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,888
mambo ya kuhangaika kutafuta mabibi/mabwana wa kizungu sasa yamepatiwa dawa.so usihangaike.
piga hii namba na wewe upate wa kwako hii ni offer.
ninadeal na wanao taka wazungu tu!
0654798434
 
Hivi utani sio unawekwa kwenye jukwaa la jokes???
Nwy labda nimepitwa na wakati sijui kinachoendelea....haya kama kuna wadada wenye njaa na wazungu mnapendwa hapo juu changamkeni!!
 
wewe ni mzungu?mie natafuta mzungu jamaniiii...ngoja nikutext
 
samahani nimekupigia nikijua wewe ni mzungu,mwenzenu natafuta mzungu.:bange:
 
saaly mbona haunielewi?nmekuambia usibeep wala kutuma msg.hii si joke.
 
mbona sijakubeep,nimekupigia tukaongea ukakata,nilijua wewe ni mzungu,umesema sio.

kwa hiyo unanitaka mimi?wanaonitaka wote wananiPM...mbona haujanipm?mimi nmekupa msaada tu.hebu piga tuongee vizuri.inaonekana hatujaelewana.tatizo lako unatetemeka.salimia eleza shida yako.siyo unapiga kama huna uhakika na namba.
 
mambo ya kuhangaika kutafuta mabibi/mabwana wa kizungu sasa yamepatiwa dawa.so usihangaike.
piga hii namba na wewe upate wa kwako hii ni offer.
ninadeal na wanao taka wazungu tu!
0654798434



Nimepita tu, i think nimekosea njia.... Sorry....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom