Ustaadh
JF-Expert Member
- Oct 25, 2009
- 413
- 19
Hivi huu utaratibu wa 'mjeshi' kusimama nyuma ya Rais ni utaratibu 'tuliojiwekea' au ni matokeo ya kurithi kutoka kwa wakoloni? Yaani hata kama anaongea lazima 'mjeshi' asimame nyuma yake?
Kuna ulazima kweli kwa huyu 'mjeshi' kusimama wakati 'wanene' wanaongea kama ilivyo hapo kwenye picha?
View attachment 15940